Ujio wa PSquare - ITV Taarifa ya Habari.

Ujio wa PSquare - ITV Taarifa ya Habari.

Asamwa

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2012
Posts
3,785
Reaction score
2,552
Heshima kwenu wakuu!


Leo wakati wa taarifa ya habari ya saa moja ITV habari ya kwanza ilikuwa kuhusu kuwasili nchini kwa wanamuziki wa kikundi cha PSquare. Mimi nilishtuka kidogo, kwa kuwa tumezoea kusikia habari muhimu kitaifa zikipewa kipaumbele wakati wa taarifa za habari.


Sasa ujio wa hawa wasanii una umuhimu gani kitaifa? Kwa wananchi wa kule vijijini ambao hawana hata uhakika wa mlo mmoja kwa siku hii taarifa ina umuhimu gani? Hata kwa wananchi walio nje ya Dar es Salaam ambao hawategemei kuhudhuria tamasha la wanamuziki hao hizi habari zina manufaa gani?


Naomba michango yenu kuhusu hili wadau.
 
mjinga wewe hujui kuwa hiyo ni biashara?! habari za kitaifa zipo Tv uhuru hata TBC wenyewe sometimes wanaoparate kibiashara. shangaa mambo mengine
 
Eti unaomba michango yetu, ili uipeleke wapi?

Unafikiri kodi unayolipa inafika ITV?
 
Kijana usiishi kwa formula kama hesabu! ITV ni kituo cha televisheni kinachojitegemea, hivyo kwao kitu kinachowaingizia fedha ni cha muhimu zaidi kwako kuliko hizo habari zenu za siasa. The same kama ni muangaliaji wa CNN, Aljazeera na televisheni nyingine za kimataifa. Kitu chenye maslahi kwako ni cha kwanza zaidi.
 
mjinga wewe hujui kuwa hiyo ni biashara?! habari za kitaifa zipo Tv uhuru hata TBC wenyewe sometimes wanaoparate kibiashara. shangaa mambo mengine

kulikuwa na haja kusema ulichosema?,kwa ufupi ITV wamechemka,taarifa ilipaswa kusoma baada ya habari za kitaifa.
 
kulikuwa na haja kusema ulichosema?,kwa ufupi ITV wamechemka,taarifa ilipaswa kusoma baada ya habari za kitaifa.

Wale wapo kibiashara zaidi na wao wakiwa ni moja ya wadau waliodhamini ujio wa hao P-Square ni haki yao kufanya kile walichofanya, ukizingatia ujio huo utawapatia pesa nyingi zaidi za kuendelea kukiendesha kituo hicho. Usiishi kwa mazoea, endapo taarifa ya habari ya saa 1 au 12 asubuhi ingekuwa na habari za michezo nadhani ingewekwa katika kipengele hicho.
 
hili ni jambo la kawida sana mkuu,.

Tatizo tumeshajenga mazoea kwamba habari za kitaifa kusomwa kwanza,..

Huu ni mfumo tuliouzoea mkuu,.

Hakuna cha kushangaa hapa kwanza ITV ni Independent Television kwa hiyo wanafanya kile ambacho kina maslahi kwao kwa kuzingatia kanuni za kiuandishi wa habari na kufuata taratibu kutoka mamlaka ya mawasiliano TCRA,.

Wanao uhuru wa kufanya walichofanya,...
 
TV is the chewing gum for your eyes!!!! so chew what you see, and don't swallow!!!
 
Heshima kwenu wakuu!


Leo wakati wa taarifa ya habari ya saa moja ITV habari ya kwanza ilikuwa kuhusu kuwasili nchini kwa wanamuziki wa kikundi cha PSquare. Mimi nilishtuka kidogo, kwa kuwa tumezoea kusikia habari muhimu kitaifa zikipewa kipaumbele wakati wa taarifa za habari.


Sasa ujio wa hawa wasanii una umuhimu gani kitaifa? Kwa wananchi wa kule vijijini ambao hawana hata uhakika wa mlo mmoja kwa siku hii taarifa ina umuhimu gani? Hata kwa wananchi walio nje ya Dar es Salaam ambao hawategemei kuhudhuria tamasha la wanamuziki hao hizi habari zina manufaa gani?


Naomba michango yenu kuhusu hili wadau.

Kumbuka taarifa habar ya saa moja ni marudio ya taarifa ya habar ya saa mbili ucku
 
hawajakosea,wanatuhamasisha tukanunue ticket mapema...
Kama wamefika jamaa,ngoja nifanye mchakato mapemaaaaa...


"Nlikuwepo":bolt:
 
...ile imekaa kibiashara zaidi mkuu..ITV hawapati ruzuku yoyote toka serikalini,naona wameamua kuitumia fursa kisawasawa!
 
Wale wapo kibiashara zaidi na wao wakiwa ni moja ya wadau waliodhamini ujio wa hao P-Square ni haki yao kufanya kile walichofanya, ukizingatia ujio huo utawapatia pesa nyingi zaidi za kuendelea kukiendesha kituo hicho. Usiishi kwa mazoea, endapo taarifa ya habari ya saa 1 au 12 asubuhi ingekuwa na habari za michezo nadhani ingewekwa katika kipengele hicho.

Kwa mara ya kwanza for ma life nimeona Katavi umechangia kwa mistari zaidi ya mitatu(aka kwa maneno mengi zaidi) ...duh kumbe unaweza eeh??
 
Last edited by a moderator:
Heshima kwenu wakuu!


Leo wakati wa taarifa ya habari ya saa moja ITV habari ya kwanza ilikuwa kuhusu kuwasili nchini kwa wanamuziki wa kikundi cha PSquare. Mimi nilishtuka kidogo, kwa kuwa tumezoea kusikia habari muhimu kitaifa zikipewa kipaumbele wakati wa taarifa za habari.


Sasa ujio wa hawa wasanii una umuhimu gani kitaifa? Kwa wananchi wa kule vijijini ambao hawana hata uhakika wa mlo mmoja kwa siku hii taarifa ina umuhimu gani? Hata kwa wananchi walio nje ya Dar es Salaam ambao hawategemei kuhudhuria tamasha la wanamuziki hao hizi habari zina manufaa gani?


Naomba michango yenu kuhusu hili wadau.

hao wananchi wa kijijn wasiokua na umeme wala tv access wameonaje?
 
Heshima kwenu wakuu!


Leo wakati wa taarifa ya habari ya saa moja ITV habari ya kwanza ilikuwa kuhusu kuwasili nchini kwa wanamuziki wa kikundi cha PSquare. Mimi nilishtuka kidogo, kwa kuwa tumezoea kusikia habari muhimu kitaifa zikipewa kipaumbele wakati wa taarifa za habari.


Sasa ujio wa hawa wasanii una umuhimu gani kitaifa? Kwa wananchi wa kule vijijini ambao hawana hata uhakika wa mlo mmoja kwa siku hii taarifa ina umuhimu gani? Hata kwa wananchi walio nje ya Dar es Salaam ambao hawategemei kuhudhuria tamasha la wanamuziki hao hizi habari zina manufaa gani?


Naomba michango yenu kuhusu hili wadau.
lazima wewe utakuwa ni Ruge
 
roho mbaya tu hiyo mbona hujashangaa meli inazama tv ya taifa inaonyesha taarab, au watu wanakufa na njaa tunaonyeshwa live mkutano wa chama
 
Back
Top Bottom