Ujio wa Mhe. Lowasa Chadema

Ujio wa Mhe. Lowasa Chadema

MAPOOOZII

Member
Joined
Dec 15, 2014
Posts
16
Reaction score
3
Ni dhahiri kwamba mhe Lowasa ni mtaji mkubwa katika kujiunga na chadema/ ukawa. Aidha utaratibu na makubaliano ya kujiunga na CDM ndiyo utakaomfanya awe mtaji au mzigo kwa chama. Ikumbukwe kwamba Lowasa anajiamini sana na hadi sasa anaamini kwamba ana nafasi ya juu kabisa ya nchi hii na anastahili kuwa Raisi.naweza kumlinganisha na Raila Odinga. Na hapo ndiyo njiapanda ya mahusiano ya Lowasa na CDM.ushauri wangu ni kwamba Lowasa apewe Haki yake ya singi ya kujiunga na upinzani bila masharti ya kutaka uongozi wowote wa awali; tofauti na hapo upinzani utasambaratika na kukosa nafasi hii ya pekee kuongoza nchi.
Ni matarajio yangu kuwa kutakuwa na mabadilo makubwa ya kisiasa na kiuchimi katika nchi yetu.
 
Huyo jamaa haji ukawa wala chadema... Huko huko ufisadini kunampenda zaidi, hawezi tubu madhambi na kuzaliwa upya huyo
 
Nasubiria siku mtakapo au atakapo jitangaza jamaa ndio patakuwa patam
 
Aje tu ilimradi utaratibu wa kuwa kiongozi ndani ya chama ufuatwe.sio mbaya akianza kwa kuchukua fomu ya kugombea udiwani.
 
sijui akili za wapi hizi.

Lowasa kuja chadema na asipate nafasi ya kugombea urais kwake ni hasara. kuna faida kubwa kubaki kwake ccm kama hatagombea urais kwa sababu ya kulinda masilahi yake kuliko akienda upinzani.
msisahau kuwa magufuli ndo rais ajaye.


Ni dhahiri kwamba mhe Lowasa ni mtaji mkubwa katika kujiunga na chadema/ ukawa. Aidha utaratibu na makubaliano ya kujiunga na CDM ndiyo utakaomfanya awe mtaji au mzigo kwa chama. Ikumbukwe kwamba Lowasa anajiamini sana na hadi sasa anaamini kwamba ana nafasi ya juu kabisa ya nchi hii na anastahili kuwa Raisi.naweza kumlinganisha na Raila Odinga. Na hapo ndiyo njiapanda ya mahusiano ya Lowasa na CDM.ushauri wangu ni kwamba Lowasa apewe Haki yake ya singi ya kujiunga na upinzani bila masharti ya kutaka uongozi wowote wa awali; tofauti na hapo upinzani utasambaratika na kukosa nafasi hii ya pekee kuongoza nchi.
Ni matarajio yangu kuwa kutakuwa na mabadilo makubwa ya kisiasa na kiuchimi katika nchi yetu.
 
Lowasa hawezi kuhama ndani ya chama cha mafisadi wenzake ccm atamfuata mramba gerezani
 
ok now see sllaa  chadema.JPG welcom shujaa usie tishwa nyau,its time now to destroy ccm
 
Sijui EL akivaa combat atafananaje! Itakuwa mchakamchaka mpaka kieleweke!
 
EL akijiunga UKAWA lazima nchi itatikisika
ni kweli jamaa ana nguvu na utabiri wa Nyerere
utatimia hapa kwamba atakayeivunja sisiem atatoka sisiem.
 
Back
Top Bottom