Ujio wa Lowassa CHADEMA waidhoofisha UKAWA Shinyanga mjini

Kanda ya ziwa lowassa juu pia anakubalika sana,na wiki ijayo akija tutaona nani atafunika ndo CCM mjue lowassa ni chaguo la watanzania,magufuli tulishaona na alifunikwa na wenje kwa wingi wa watu
 
hao hawawezi msahau ma mvi muasisi wa matumizi ya maji ziwa Victoria baada ya sheria za mto nile kuzuia
 
ww ndio shinyanga ama kweli miccm bwana!!

Watu walizomea pale bwana Petroleum Katambi alipokuwa anatoa machache ktk mkutano mkuu pale mlimani city kwamba Bavicha wako imara na watahakikisha Wezi wa Mali za umma, MAFISADI, wanashughulikiwa...baada yakusema neno fisadi watu wakazomea... nilikuwa ktk kijiwe muhimu Sana mjini shy ambapo wafuasi wa Katambi Kama mgombea ubunge wao walikiri wazi Kuwa ujio wa fisadi lowasa umewadhoofisha na Kuwa demoralize to the extent kwamba sasa Hawawezi kutamba hadharani.
 
nko Shinyanga hayo unayoyasema umeyatoa wapi?? mbona Shinyanga mjin nilipo CCM hawana chao na hata mwenyekit wa CCM mkoa Hamis Mgeja ni team Lowassa na anaendelea kukibomoa chama chinichin kabla hajamfuata Lowassa..acha kupotosha mkuu
yule tumbo tele mgeja msindai ni singida wewe! shinyanga nambari wani eeeeh inatamba
 
Inaonekana unazurura sana maana ili ujue mjini kote watu wanazungumza kitu gani mmh hongera mkuu
 
Ndugu wanajamvi!

Hali ya kisiasa katika jimbo la Shinyanga mjini imezidi kuimarika kwa upande wa CCM na kuwa mbaya kwa wana UKAWA.

Awali kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA, UKAWA walikuwa na nguvu kubwa kiasi cha kutishia uendekezo wa CCM kulitawala jimbo hili.

Hivi sasa kila kona ya mji wa Shinyanga gumzo ni Magufuli na mbunge anayemaliza muda wake, Mhe. STEVEN MASELE.

MASELE anatajwa na wananchi wingi kama mbunge kijana shupavu aliewaletea maendeleo lukuku wananchi wa Shinyanga ndani ya miaka Kitano tu.

MAGUFULI anatajwa kama kiongozi asiyetetereka na mwenye kusimamia kanuni na sheria.

Kifupi ni kuwa UKAWA hawana chao katika uchaguzi huu hapa Shinyanga.
Mama Chambulilo na wewe huwa unaingia JF? Tumevamiwa!! Masele hana chake hapa mjini, jimbo linaenda na Katambi!!
 
2010 shinyanga ni kati ya mikoa ambayo upinzani ulifanya vizuri sana,Masele mwenyewe hakushinda na safari hii anaondoka,kwa ujumla wanashinyanga wanamuhitaji sana edo.
 
Shinyanga wamefanya vizuri kumkubali magufuli,sababu huko kaskazini wanamnadi Lowasa wao,na nyie mkubalini mtu wa kwenu hivyo hivyo,hakuna cha ukanda wala nini.
 
Ndugu wanajamvi!

Hali ya kisiasa katika jimbo la Shinyanga mjini imezidi kuimarika kwa upande wa CCM na kuwa mbaya kwa wana UKAWA.

Awali kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA, UKAWA walikuwa na nguvu kubwa kiasi cha kutishia uendekezo wa CCM kulitawala jimbo hili.

Hivi sasa kila kona ya mji wa Shinyanga gumzo ni Magufuli na mbunge anayemaliza muda wake, Mhe. STEVEN MASELE.

MASELE anatajwa na wananchi wingi kama mbunge kijana shupavu aliewaletea maendeleo lukuku wananchi wa Shinyanga ndani ya miaka Kitano tu.

MAGUFULI anatajwa kama kiongozi asiyetetereka na mwenye kusimamia kanuni na sheria.

Kifupi ni kuwa UKAWA hawana chao katika uchaguzi huu hapa Shinyanga.

Acha ungesee wewe.... Unaijua Shinyanga vizuri???? Au umetumwa na Kasili... Usizungumze kitu kwa mahaba ya chumbani... Ukawa Shinyanga ipo imara sana na wala hakujawahi tokea conflict yeyote... Zaidi ya wale waliohamia ACT kabla ya ujio wa Lowasa kama Shilungushela... Kwa sasa hakuna mwenye ubavu wa kuhama wakati anaona tunaenda kushika dola..

Next jifunze kutumia jf... Pundamilia ww..
 
Back
Top Bottom