johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,978
- 141,994
Inasemekana Mbunge wa Shinyanga Mjini Dr Patrobas Katambi atakuwa na Mikutano na Wapiga kura wake sambamba na mikutano ya Tundu Lisu ya 255 Operesheni Katiba Mpya Okoa Bandari
Hiyo inaitwa Mguu kwa mguu dadeki 😂😂
Ngoja tuone!
Natokea Ufipa st naelekea Mtambani kusikia Waraka mubashara kupita Vipaza Sauti
Jumaa Mubarak 😀
Hiyo inaitwa Mguu kwa mguu dadeki 😂😂
Ngoja tuone!
Natokea Ufipa st naelekea Mtambani kusikia Waraka mubashara kupita Vipaza Sauti
Jumaa Mubarak 😀