Ujio wa Lowassa CHADEMA waidhoofisha UKAWA Shinyanga mjini

chambulilo

JF-Expert Member
Aug 19, 2013
217
38
Ndugu wanajamvi!

Hali ya kisiasa katika jimbo la Shinyanga mjini imezidi kuimarika kwa upande wa CCM na kuwa mbaya kwa wana UKAWA.

Awali kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA, UKAWA walikuwa na nguvu kubwa kiasi cha kutishia uendekezo wa CCM kulitawala jimbo hili.

Hivi sasa kila kona ya mji wa Shinyanga gumzo ni Magufuli na mbunge anayemaliza muda wake, Mhe. STEVEN MASELE.

MASELE anatajwa na wananchi wingi kama mbunge kijana shupavu aliewaletea maendeleo lukuku wananchi wa Shinyanga ndani ya miaka Kitano tu.

MAGUFULI anatajwa kama kiongozi asiyetetereka na mwenye kusimamia kanuni na sheria.

Kifupi ni kuwa UKAWA hawana chao katika uchaguzi huu hapa Shinyanga.
 
Anza kusherehekea Mkuu, Maana umesema ukweli. Kumbuka hujatupatiachanzo cha takwimu zako, Ni utafiti, ndoto, maoni yako binafsi ama matamanio yako. Unachotaka kutwambia ni ukabila na ukanda ambao ndio sera za chama chenu....
 
Shinyanga mjini ni miongoni mwa miji ya zamani sana hapa Tz lakini mpaka leo hauna maendeleo yoyote !!!Bob Makani (RIP)alijaribu sana kuwaamsha lakini wapi !!!hakuna uhusiano wowote na ujio wa Lowassa jamaa hawana mwamko tu
 
Ndugu wanajamvi!

Hali ya kisiasa katika jimbo la Shinyanga mjini imezidi kuimarika kwa upande wa CCM na kuwa mbaya kwa wana UKAWA.

Awali kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA, UKAWA walikuwa na nguvu kubwa kiasi cha kutishia uendekezo wa CCM kulitawala jimbo hili.

Hivi sasa kila kona ya mji wa Shinyanga gumzo ni Magufuli na mbunge anayemaliza muda wake, Mhe. STEVEN MASELE.

MASELE anatajwa na wananchi wingi kama mbunge kijana shupavu aliewaletea maendeleo lukuku wananchi wa Shinyanga ndani ya miaka Kitano tu.

MAGUFULI anatajwa kama kiongozi asiyetetereka na mwenye kusimamia kanuni na sheria.

Kifupi ni kuwa UKAWA hawana chao katika uchaguzi huu hapa Shinyanga.

nko Shinyanga hayo unayoyasema umeyatoa wapi?? mbona Shinyanga mjin nilipo CCM hawana chao na hata mwenyekit wa CCM mkoa Hamis Mgeja ni team Lowassa na anaendelea kukibomoa chama chinichin kabla hajamfuata Lowassa..acha kupotosha mkuu
 
Ndugu wanajamvi!

Hali ya kisiasa katika jimbo la Shinyanga mjini imezidi kuimarika kwa upande wa CCM na kuwa mbaya kwa wana UKAWA.

Awali kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA, UKAWA walikuwa na nguvu kubwa kiasi cha kutishia uendekezo wa CCM kulitawala jimbo hili.

Hivi sasa kila kona ya mji wa Shinyanga gumzo ni Magufuli na mbunge anayemaliza muda wake, Mhe. STEVEN MASELE.

MASELE anatajwa na wananchi wingi kama mbunge kijana shupavu aliewaletea maendeleo lukuku wananchi wa Shinyanga ndani ya miaka Kitano tu.

MAGUFULI anatajwa kama kiongozi asiyetetereka na mwenye kusimamia kanuni na sheria.

Kifupi ni kuwa UKAWA hawana chao katika uchaguzi huu hapa Shinyanga.

kupenda kwingine ni kubaya unatoa habari pasipo takwimu za kuthibitisha nafikiri ungetupa angalau takwimu kidogo japo hatujui kiwango cha shule yako hivyo ni vizuri ukatafakari hilo.
 
Ndugu wanajamvi!

Hali ya kisiasa katika jimbo la Shinyanga mjini imezidi kuimarika kwa upande wa CCM na kuwa mbaya kwa wana UKAWA.

Awali kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA, UKAWA walikuwa na nguvu kubwa kiasi cha kutishia uendekezo wa CCM kulitawala jimbo hili.

Hivi sasa kila kona ya mji wa Shinyanga gumzo ni Magufuli na mbunge anayemaliza muda wake, Mhe. STEVEN MASELE.

MASELE anatajwa na wananchi wingi kama mbunge kijana shupavu aliewaletea maendeleo lukuku wananchi wa Shinyanga ndani ya miaka Kitano tu.

MAGUFULI anatajwa kama kiongozi asiyetetereka na mwenye kusimamia kanuni na sheria.

Kifupi ni kuwa UKAWA hawana chao katika uchaguzi huu hapa Shinyanga.

unasema nani hateteleki? sio huyu magufuri aliyekurupuka na kushindwa kesi na wachina wenye elimu ya darasa la saba. sasa umakini wake uko wapi?
 
ukweli ndio huo,sisi tunahangaika na porojo mitandaoni,binafsi sipendi masele aendelee shy mjini ila atashinda kwa 90+%,kwa urais ukawa wasijisumbue,watu wa hapa wana msimamo mno na ninawaogopa kwa kweli,wanasikiliza wanabaki na msimamo uleule
 
Jamaa unaota naona tulia Masele halambi kitu walituondolea muuza kuku wetu lakin mwaka huu mmelamba
 
Shinyanga mjini ni miongoni mwa miji ya zamani sana hapa Tz lakini mpaka leo hauna maendeleo yoyote !!!Bob Makani (RIP)alijaribu sana kuwaamsha lakini wapi !!!hakuna uhusiano wowote na ujio wa Lowassa jamaa hawana mwamko tu

Sijui unaizungumzia shy ipi sasa kwa taarifa yako Dar hamna upinzani kabisa njoo huku utajua
 
Ndugu wanajamvi!

Hali ya kisiasa katika jimbo la Shinyanga mjini imezidi kuimarika kwa upande wa CCM na kuwa mbaya kwa wana UKAWA.

Awali kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA, UKAWA walikuwa na nguvu kubwa kiasi cha kutishia uendekezo wa CCM kulitawala jimbo hili.

Hivi sasa kila kona ya mji wa Shinyanga gumzo ni Magufuli na mbunge anayemaliza muda wake, Mhe. STEVEN MASELE.

MASELE anatajwa na wananchi wingi kama mbunge kijana shupavu aliewaletea maendeleo lukuku wananchi wa Shinyanga ndani ya miaka Kitano tu.

MAGUFULI anatajwa kama kiongozi asiyetetereka na mwenye kusimamia kanuni na sheria.

Kifupi ni kuwa UKAWA hawana chao katika uchaguzi huu hapa Shinyanga.
chambulio wewe ni mwongo Sana ccm haina chake hapa Shy, Solwa, kiahapu na kahama hizo habari umetoa wp usiudaganye Umma wa jf ccm haina chake mkoa mzima wa Shy au na habari za ushetu na msalala huna Kule Kule ndo kabisa ccm kufikisha angalau kura Mia ni muujiza
 
Tukubaliane tu kwamba CHADEMA wamechemka sana kumchukua lowasa, sasa hivi wana vidonda vingi vya kutibu kuliko kuboresha afya ya chama

Ndugu wanajamvi!

Hali ya kisiasa katika jimbo la Shinyanga mjini imezidi kuimarika kwa upande wa CCM na kuwa mbaya kwa wana UKAWA.

Awali kabla ya ujio wa Lowassa ndani ya CHADEMA, UKAWA walikuwa na nguvu kubwa kiasi cha kutishia uendekezo wa CCM kulitawala jimbo hili.

Hivi sasa kila kona ya mji wa Shinyanga gumzo ni Magufuli na mbunge anayemaliza muda wake, Mhe. STEVEN MASELE.

MASELE anatajwa na wananchi wingi kama mbunge kijana shupavu aliewaletea maendeleo lukuku wananchi wa Shinyanga ndani ya miaka Kitano tu.

MAGUFULI anatajwa kama kiongozi asiyetetereka na mwenye kusimamia kanuni na sheria.

Kifupi ni kuwa UKAWA hawana chao katika uchaguzi huu hapa Shinyanga.
 
Back
Top Bottom