Alagwa
Member
- May 30, 2012
- 95
- 85
Annunaki. Inasemekana walikuja duniani miaka mingi iliyopita na kuna mambo yalifanyika.
Kifupi huku walikotoka walipata majanga kwenye vyombo chao (space ship) hivyo wakatakiwa kurekebisha chombo chao ambacho kilihitajika dhahabu ili kiwe sawa lakini sayari pekee iliyokuwa na dhahabu ilikuwa dunia.
Basi ilikuharakisha kazi binadamu akatumika kwenye machombo ya dhahabu na mpaka sasa kunasehemu huko Africa ya kusiini inayoshangaza kwa kuwa na migodi ya dhahabu ya miaka mingi iliyopita kabla ya binadamu wa sasa kuanza kuchimba tena.
Basi wakati wakifanya shughuli hiyo ya uchimbaji wakawaona wanawake wa binadamu na kuwatamani hivyo wengine wakapata watoto nao lakini watoto wale hawakukubalika na jamii yao hivyo wakabaki kuwa hapa duniani basi kutokana na akili na uwezo wa watoto wale binadamu wakawaita miungu.
Katika maandiko ya kidini tumaambiwa walizaliwa watu wakubwa sana Giant
Hii ni kwa kifupi je niendelee au nimewaacha
Kifupi huku walikotoka walipata majanga kwenye vyombo chao (space ship) hivyo wakatakiwa kurekebisha chombo chao ambacho kilihitajika dhahabu ili kiwe sawa lakini sayari pekee iliyokuwa na dhahabu ilikuwa dunia.
Basi ilikuharakisha kazi binadamu akatumika kwenye machombo ya dhahabu na mpaka sasa kunasehemu huko Africa ya kusiini inayoshangaza kwa kuwa na migodi ya dhahabu ya miaka mingi iliyopita kabla ya binadamu wa sasa kuanza kuchimba tena.
Basi wakati wakifanya shughuli hiyo ya uchimbaji wakawaona wanawake wa binadamu na kuwatamani hivyo wengine wakapata watoto nao lakini watoto wale hawakukubalika na jamii yao hivyo wakabaki kuwa hapa duniani basi kutokana na akili na uwezo wa watoto wale binadamu wakawaita miungu.
Katika maandiko ya kidini tumaambiwa walizaliwa watu wakubwa sana Giant
Hii ni kwa kifupi je niendelee au nimewaacha