Ujio mpya wa Inspector Haroun, the true legendary bongo flavorer

Ujio mpya wa Inspector Haroun, the true legendary bongo flavorer

Hossam

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2011
Posts
3,548
Reaction score
2,181
Kwa habari nilizozipata ni kuwa the lion king, Mr. Never give up, babuu, anajiandaa kulipua makitu baada ya kuwaachia wabana pua akitaka kuona uwezo wa wabwataji! You get to love this legendary!

Anakuja na vionjo vipyaaa huku akipqnga kuwashirikisha manyang'au wwnaotisha kama kiroboto, afande na professor Jay!

Welcome back true king!

Hutaki unaacha.

Kwangu Pakavu.
 
kitu kipy mungu ndo anapanga babu kwenye koras juma nature acha kabisa
 
Kwa habari nilizozipata ni kuwa the lion king, Mr. Never give up, babuu, anajiandaa kulipua makitu baada ya kuwaachia wabana pua akitaka kuona uwezo wa wabwataji! You get to love this legendary!

Anakuja na vionjo vipyaaa huku akipqnga kuwashirikisha manyang'au wwnaotisha kama kiroboto, afande na professor Jay!

Welcome back true king!

Hutaki unaacha.

Kwangu Pakavu.

Ngoma inaitwaje?
 
Enz zaid mtoto wa geti mmhh. Toto kajazia aja kubwa..chaser mayai yenye vioo vya batan. . Makosmet na vipodooz. .toto kakalia sofa jicho kideo. .nimekuzimikia mtoto geti kali. .wee acha tu enz hizo za maksi na zembwela. Chips mayai 300 maaamaeee
 
huyu jamaa ana kiswahili yake ya uswahili,misemo za ukweli,mpaka huwa najiuliza anachanganya na kikabila nini,ila jamaa ana kiswahili za kihuni,namkubali sana
 
Jamaa ana style yake ya kusema neno moja hata mara nne katika misemo mingine:~
1."Goto limekata,mapene yamecheua",goto na mapene ni kitu kimoja-pesa
2.Anabonga ngeli,anabwaga ung'eng'e kilatini spanich frech hapo ndio chenye,ngeli na ung'eng'e ni kitu kimoja-kiingereza
3.Beef,cow,kitimoto pork,kitimoto na pork ni kitu kimoja-nyama ya nguruwe
4.Mara vikaanza viboko,bakora,stick michalazo denti akiguna kidogo ticha ndio anatilia mkazoo weee,viboko,bakora,stick,michalazo yote yana maana moja yani fimbo
5.Kajazia haja kubwa,bambataa,taarabu anayo,yani maneno yote hayo yana maana moja ya mkia wa kondoo
6.Mtoto natural color,chotara,mweusi mng'avu ng'avu maji ya kunde kaenda hewani sekunde,uso soft usio chunusi,demu huyo mmoja lakini chotara,maji ya kunde,mweusi,mng'avu ng'avu jamaa anajaribu kumuelezea binti katika angle zote.
7.Makostimetiks,vipodozi na vibwagayose.
8.Chechela segedansi nondo gereza inside ndete lupango kunapotekeza,yani mistali yote anazungumzia neno moja tu jela

~
Jamaa style yake imekaa poa sana ni sawa na temba lazima utasikia pilipili na kachumbali kwenye mistali yake.
 
Jamaa ana style yake ya kusema neno moja hata mara nne katika misemo mingine:~
1."Goto limekata,mapene yamecheua",goto na mapene ni kitu kimoja-pesa
2.Anabonga ngeli,anabwaga ung'eng'e kilatini spanich frech hapo ndio chenye,ngeli na ung'eng'e ni kitu kimoja-kiingereza
3.Beef,cow,kitimoto pork,kitimoto na pork ni kitu kimoja-nyama ya nguruwe
4.Mara vikaanza viboko,bakora,stick michalazo denti akiguna kidogo ticha ndio anatilia mkazoo weee,viboko,bakora,stick,michalazo yote yana maana moja yani fimbo
5.Kajazia haja kubwa,bambataa,taarabu anayo,yani maneno yote hayo yana maana moja ya mkia wa kondoo
6.Mtoto natural color,chotara,mweusi mng'avu ng'avu maji ya kunde kaenda hewani sekunde,uso soft usio chunusi,demu huyo mmoja lakini chotara,maji ya kunde,mweusi,mng'avu ng'avu jamaa anajaribu kumuelezea binti katika angle zote.
7.Makostimetiks,vipodozi na vibwagayose.
8.Chechela segedansi nondo gereza inside ndete lupango kunapotekeza,yani mistali yote anazungumzia neno moja tu jela

~
Jamaa style yake imekaa poa sana ni sawa na temba lazima utasikia pilipili na kachumbali kwenye mistali yake.

Mkuu wewe kweli mdau wa Bongo fleva ya Ukweli nimekukubali.
 
Huyu jamaa kutoa ngoma bila kutaja vyakula sijui huwa hajisikii kaimba vizuri? Kila ngoma lazima usikie stori za msosi
 
Ila nahic safari hii atatamba sana maana wengi walimmuss ila akirudi tena maringo aachane nayo
 
Jamaa ana style yake ya kusema neno moja hata mara nne katika misemo mingine:~
1."Goto limekata,mapene yamecheua",goto na mapene ni kitu kimoja-pesa
2.Anabonga ngeli,anabwaga ung'eng'e kilatini spanich frech hapo ndio chenye,ngeli na ung'eng'e ni kitu kimoja-kiingereza
3.Beef,cow,kitimoto pork,kitimoto na pork ni kitu kimoja-nyama ya nguruwe
4.Mara vikaanza viboko,bakora,stick michalazo denti akiguna kidogo ticha ndio anatilia mkazoo weee,viboko,bakora,stick,michalazo yote yana maana moja yani fimbo
5.Kajazia haja kubwa,bambataa,taarabu anayo,yani maneno yote hayo yana maana moja ya mkia wa kondoo
6.Mtoto natural color,chotara,mweusi mng'avu ng'avu maji ya kunde kaenda hewani sekunde,uso soft usio chunusi,demu huyo mmoja lakini chotara,maji ya kunde,mweusi,mng'avu ng'avu jamaa anajaribu kumuelezea binti katika angle zote.
7.Makostimetiks,vipodozi na vibwagayose.
8.Chechela segedansi nondo gereza inside ndete lupango kunapotekeza,yani mistali yote anazungumzia neno moja tu jela

~
Jamaa style yake imekaa poa sana ni sawa na temba lazima utasikia pilipili na kachumbali kwenye mistali yake.

Kwao obey ostabei masaki binti huyu mtanashati!..binti mtanashati kwao obei ostabei masaki!!..anafosi fina mwisho wa siki anachoimba kinabaki kukosa maana. Huo ndio udhaifu wake na sio sifa zake kama unavyojaribu kumtetea huyo jamaa
 
This guy has lots of "attempted come backs" ...and here he is again.
 
Jamaa ana style yake ya kusema neno moja hata mara nne katika misemo mingine:~
1."Goto limekata,mapene yamecheua",goto na mapene ni kitu kimoja-pesa
2.Anabonga ngeli,anabwaga ung'eng'e kilatini spanich frech hapo ndio chenye,ngeli na ung'eng'e ni kitu kimoja-kiingereza
3.Beef,cow,kitimoto pork,kitimoto na pork ni kitu kimoja-nyama ya nguruwe
4.Mara vikaanza viboko,bakora,stick michalazo denti akiguna kidogo ticha ndio anatilia mkazoo weee,viboko,bakora,stick,michalazo yote yana maana moja yani fimbo
5.Kajazia haja kubwa,bambataa,taarabu anayo,yani maneno yote hayo yana maana moja ya mkia wa kondoo
6.Mtoto natural color,chotara,mweusi mng'avu ng'avu maji ya kunde kaenda hewani sekunde,uso soft usio chunusi,demu huyo mmoja lakini chotara,maji ya kunde,mweusi,mng'avu ng'avu jamaa anajaribu kumuelezea binti katika angle zote.
7.Makostimetiks,vipodozi na vibwagayose.
8.Chechela segedansi nondo gereza inside ndete lupango kunapotekeza,yani mistali yote anazungumzia neno moja tu jela

~
Jamaa style yake imekaa poa sana ni sawa na temba lazima utasikia pilipili na kachumbali kwenye mistali yake.

Thumb up
 
Back
Top Bottom