The Priest
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 1,029
- 259
- Thread starter
-
- #21
Na wewe uliyeleta ya Facebook huku tukuiteje....
<br />1.Kubadilisha relationshp status kila siku,asbh upo "single" mchn "in a relationshp",jioni its complicated,ucku "married" bdae divorced,<br />
2.Kuweka status kwa kila unachofanya hata vya kipuuzi.<br />
3.kuadd kila mtu eti kisa ame like post yako mahali.<br />
4.kutongoza kila demu anaeku2mia frnd request<br />
5.kila mtu kuweka homeplace dsm kana kwamba sehemu zngne hazibambi.<br />
6...<br />
Weka ujinga mwingne watu hufanya fb.
Ndio kakudanganya hivyo...Mke wangu hata simu hajui kutumia,pole sn kama ulipata mke fb,anyway U'r Rejao
<br />sio kila kinachopita fb huwa ujinga ila kwa madume wenzangu kuna hii nimeipata itatupa muelekeo 2napojichanganya fb.<br />
<br />
Facebook Tips for Men:<br />
When a girl accepts your Friend<br />
Request, It means she accepted<br />
your FRIENDSHIP, not your<br />
PROPOSAL.<br />
When a girl sends you a Friend<br />
Request.. It means she wants to<br />
be your FRIEND and not your<br />
GIRL FRIEND.<br />
When she comments on your<br />
posts It mean shes just being<br />
SOCIAL and not FLIRTING.<br />
So, respect FRIENDSHIP and dont<br />
start searching for<br />
RELATIONSHIP.
Uniiteje kivp?kwan Jf ni ccm vs cdm tu,jf is where we dare to talk openly!hili ni jukwaa la Jokes hata hvyo,sangara vp?
Hata mie nimeuliza kwa context hiyo hiyo mkuu...no offense.
Naona wamekuleta uwanja wa nyumbani!mtu akiupload picha hata kama hapendezi watu watacomment.....ur so beautiful,so handsome.
Nimipenda hiyo 3 & 5. Thats true1.Kubadilisha relationshp status kila siku,asbh upo "single" mchn "in a relationshp",jioni its complicated,ucku "married" bdae divorced,
2.Kuweka status kwa kila unachofanya hata vya kipuuzi.
3.kuadd kila mtu eti kisa ame like post yako mahali.
4.kutongoza kila demu anaeku2mia frnd request
5.kila mtu kuweka homeplace dsm kana kwamba sehemu zngne hazibambi.
6...
Weka ujinga mwingne watu hufanya fb.
Naona wamekuleta uwanja wa nyumbani!
Waambie pia wewe ni mod wa ile page yako!
<br />wakaka: kuimagine kila demu unachat nae ni mrembo
sio kila kinachopita fb huwa ujinga ila kwa madume wenzangu kuna hii nimeipata itatupa muelekeo 2napojichanganya fb.
Facebook Tips for Men:
When a girl accepts your Friend
Request, It means she accepted
your FRIENDSHIP, not your
PROPOSAL.
When a girl sends you a Friend
Request.. It means she wants to
be your FRIEND and not your
GIRL FRIEND.
When she comments on your
posts It mean shes just being
SOCIAL and not FLIRTING.
So, respect FRIENDSHIP and dont
start searching for
RELATIONSHIP.
<br />facebook- mwanaume akiandika status like 2 comment 3 lkn mwanamke akiandika status like 18 comment 22 hyo ndo facebook!