Watanzania,huwa tunasifia mpaka tunauwa,kumbuka alivyo sifiwa kikwete mwanzo kabisa alipo ingia madarakani,mwakyembe,hata vipaji vya wachezaji wa mpira wa miguu nk, sifa zinauwa hasa sifa za kijinga,hakuna haja ya kusifia mtu akitimza wajibu wake,wakati wa ushabiki wa siasa umepita.