Ujinga wa MIGA, noah na CHADEMA

Na je, ingekuwa China wale walioiuza nchi hii kwa tamaa za matumbo yao, wale walioingia mikataba ya hovyo wangefanywaje?
 
Mkuu hapo vipi?
 
Meli ya Samaki
 
1.... Inatia shaka sifa ya USOMI MAHIRI ikiwa WAKILI MAHIRI hajui CONVENTION ni nini!
2. ...Matukio ya BARICK kukubali kukaa meza moja na serikali ni ushahidi tosha kuwa MWANASHERIA MAHIRI alikuwa hajui asemacho, aliongopa au aliropoka.
1. Hoja ya kwanza unazungumzia definition ya MIGA. Sijui ina msaada gani kujua definition. Nilitegemea ungezungumzia majukumu yake zaidi
2. Hoja ya pili unazungumzia kukubali kwa Barick kufanya mazungumzo kuwa kunadhihirisha kuwa hawawezi kupeleka kesi mahakamani. Nadhani umesahau kuwa hata mibaba ikiwapa ujauzito wanafunzi, kuna kesi nyingi tu zimemalizwa kifamilia. Hii haimaanishi kuwa familia za wanafunzi hazina hoja za kisheria za kufungua kesi
 
Matukio ya BARICK kukubali kukaa meza moja na serikali ni ushahidi tosha kuwa MWANASHERIA MAHIRI alikuwa hajui asemacho, aliongopa au aliropoka.
Bila kuangalia unapiga debe upande gani, Barick kukaa na serikali ina maanisha wana interest zao wanazotaka kuzilinda na sio kwamba TL hajui asemalo, au aliongopa/kuropoka yeye alichotoa no tahadhari. Jiulize kwa nini wakati mazungumzo yanaendelea kati ya Bariki na SJMT, Acacia wametoa notes za kupeleka shauri hili mahakamani. Hawa jamaa wanatumia a parallel road strategy-maungumzo yashirikishe Barick na uamuzi watakaoridhia ni Acacia (independent board), na mahakani Acacia wenyewe (hii option wameiweka open kama hawatakubaliana na mapendekezo yatokanayo na mazungumzo). Piga tafakuri tena.
 
Ukiwaza sana unaweza kuishia kutumia lugha kali-mchango wangu #33 unaonyesha bila chenga ushabiki wa Trump. Nimeijibu hiyo point yake ya pili #46 lakini mfano wako hapo juu ni jibu bora. Mleta maada hakufanya home work yake vyakutosha.
 
Endeleeni kudai kwa mujibu wa invoice ya TRA ya tshs trilion 400 ndio mtajua definition ya MIGA, na sio kuchukua hako kahela ka posa kwa linchi tajiri kwa mujibu wa Pombe

Hawa watu ni wa ajabu sana wanaleta maneno mengi sana kutetea ushindi wa $300 lakini wanajisahaulisha kuwa walikuwa wanadai trilioni ngapi. Hawasemi zimeshukaje, hawasemi maprofesa walifanya estimates zao kwa makosa makubwa kwa kuelewa au kutoelewa. Hatubezi kilichopatikana lakini tuwe wakweli tulikosea na tulichopata na tumepata kwa kubahatisha ndio maana tumeshusha bei kiasi hicho mpka tumewafutia na kosa la wizi au udanganyifu.
 
Lakin najiuliza swali.lissu alipngea haya ili iweje sasa?

Inafika hatua unajiuliza wanasiasa wengine dhamira yao ni ipi,

Tutashitakiwa MIGA?????

Serious na unajiita mwanasheria nguli???

Maguful is so smart ,


Kabla hujatoa povu chini tuambie tunashitakiwa lini??

Kuna wanasheria wapiga kelele kwa kutaja vifungu vya sheria, watu wakisikia ibara zinatajwa tu wanaanza eti mwanasheria nguli, shit
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…