Freeman Mbowe ni nani wewe wa kuamua utakalo na wabunge wote kulifuata!
,tumeshuhudia mjadala ukiendelea kwa maridhiano na balance ya makusanyo ya maoni yote.
Tumeshuhudia vipengele vi nne vilipita kutokana na maoni ya zitto na viwili kutokana na maoni ya Lissu! Hapo Freeman kwake ilikua haki kwa kua yalienda atakavyo/watakavyo wao!!
Kwenye uchambuzi dhidi ya mapendekezo ya Waziri Nishati na Madini + AG, hoja ya msingi ni ktk formulation ambapo wachangiaji waliochangia lugha stahiki ju ya mamlaka teuzi,kwa kutofurahisha matakwa ya "UKAWA" imekua nongwa!!
Najiuliza,UKAWA wanataka kudhihirisha nini kwa Watanzania?
Mapendekezo ya Lissu yalipopita hawakutambua walio wengi yaani "CCM" ndio walio bariki.
Zitto pia ilikua sawa.
Lakini tumeshuhudia walipokua wajenga hoja wengine na kutoa michango tofauti na matakwa yao ilikua kero na uvumilivu kuwaisha!!
Nini tafsiri yake?
Zitto aliposema yaende kwa ujumla wake kama mapendekezo ya Chenge walimgeukia na kumbadilikia!
Tafsiri yake walihitaji kusemwa waliyokwisha kubaliana nje ya kikao kabla ya kikao! Je tutafika?
Tuache ushabiki tujadili kiuzalendo.
,tumeshuhudia mjadala ukiendelea kwa maridhiano na balance ya makusanyo ya maoni yote.
Tumeshuhudia vipengele vi nne vilipita kutokana na maoni ya zitto na viwili kutokana na maoni ya Lissu! Hapo Freeman kwake ilikua haki kwa kua yalienda atakavyo/watakavyo wao!!
Kwenye uchambuzi dhidi ya mapendekezo ya Waziri Nishati na Madini + AG, hoja ya msingi ni ktk formulation ambapo wachangiaji waliochangia lugha stahiki ju ya mamlaka teuzi,kwa kutofurahisha matakwa ya "UKAWA" imekua nongwa!!
Najiuliza,UKAWA wanataka kudhihirisha nini kwa Watanzania?
Mapendekezo ya Lissu yalipopita hawakutambua walio wengi yaani "CCM" ndio walio bariki.
Zitto pia ilikua sawa.
Lakini tumeshuhudia walipokua wajenga hoja wengine na kutoa michango tofauti na matakwa yao ilikua kero na uvumilivu kuwaisha!!
Nini tafsiri yake?
Zitto aliposema yaende kwa ujumla wake kama mapendekezo ya Chenge walimgeukia na kumbadilikia!
Tafsiri yake walihitaji kusemwa waliyokwisha kubaliana nje ya kikao kabla ya kikao! Je tutafika?
Tuache ushabiki tujadili kiuzalendo.