ngivingivi
Senior Member
- Mar 29, 2013
- 189
- 109
Watanzania wa leo sio wa miaka ile wamebuluzwa sana lkn naona sasa wamekaribia ukingoni, "so wait for revenge" "enough is enough" historia itawahukumu wanafiki wote, Mungu tusaidie kwani ni hatua ngumu kuivuka.