B Ben Jack Member Joined Apr 7, 2013 Posts 66 Reaction score 5 Apr 8, 2013 #1 Ujinga ni kufikiria Kuwa Sumalee anaundugu na BLUCE LEE
A aduwilly JF-Expert Member Joined Mar 11, 2009 Posts 1,191 Reaction score 320 Apr 8, 2013 #2 ujinga ni kulala bila nguo wakati upo single
Deejay nasmile JF-Expert Member Joined Nov 8, 2011 Posts 5,817 Reaction score 5,403 Apr 8, 2013 #3 Ujinga ni kunya pamoja na demu wako eti kisa mnaoga wote
BUCHANAGANDE JF-Expert Member Joined Sep 8, 2011 Posts 1,512 Reaction score 482 Apr 9, 2013 #4 Ujinga ni kutotumia kondomu kwa demu kisa utamu utapungua.
BUCHANAGANDE JF-Expert Member Joined Sep 8, 2011 Posts 1,512 Reaction score 482 Apr 9, 2013 #5 Ujinga ni kupoteza muda mwingi kuwaza ngono badala ya kuwaza kazi.
Baba V JF-Expert Member Joined Dec 29, 2010 Posts 19,479 Reaction score 9,546 Apr 9, 2013 #6 Ujinga ni kutoa mimba afu unabeba na kulala na midoli
cds Senior Member Joined Oct 26, 2012 Posts 144 Reaction score 79 Apr 9, 2013 #7 ujinga ni kushabikia chama cha siasa badala ya kuangalia kiongozi bora
G Godzzo Member Joined Dec 18, 2011 Posts 11 Reaction score 2 Apr 10, 2013 #8 Ujinga ni kufua kondom baada ya kutumia na kukodisha kwa wanakijiji kama chombo cha kut-mb-e-a.
Queen Kan JF-Expert Member Joined Dec 26, 2012 Posts 5,302 Reaction score 9,095 Apr 10, 2013 #9 ben jack said: ujinga ni kufikiria kuwa sumalee anaundugu na bluce lee Click to expand... ujinga ni kufikiria said mwena ana undugu na usiku mwema
ben jack said: ujinga ni kufikiria kuwa sumalee anaundugu na bluce lee Click to expand... ujinga ni kufikiria said mwena ana undugu na usiku mwema
N NancyM JF-Expert Member Joined Mar 2, 2013 Posts 314 Reaction score 40 Apr 10, 2013 #10 Ujinga ni kumfatilia mtu ambaye hakuwazi hata kidogo maishani mwake Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ujinga ni kumfatilia mtu ambaye hakuwazi hata kidogo maishani mwake Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mtoto halali na hela JF-Expert Member Joined Aug 10, 2012 Posts 53,246 Reaction score 50,468 Apr 10, 2013 #11 Ni kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mke/mume wa mtu.
Rjohn JF-Expert Member Joined Feb 28, 2012 Posts 613 Reaction score 128 Apr 10, 2013 #12 ujinga nikusikiliza cd empty
P pretty n JF-Expert Member Joined Aug 21, 2012 Posts 298 Reaction score 71 Apr 10, 2013 #13 Ujinga ni kumpenda mtu asiekujua Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
N NancyM JF-Expert Member Joined Mar 2, 2013 Posts 314 Reaction score 40 Apr 10, 2013 #14 Ujinga ni kudhani kila anayekutongoza anakupenda wengine wapitaji tuu Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Ujinga ni kudhani kila anayekutongoza anakupenda wengine wapitaji tuu Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
T Tinambuya JF-Expert Member Joined Feb 22, 2013 Posts 419 Reaction score 41 Apr 10, 2013 #15 ujinga ni kumng'ang'ania asiyekupenda
Jay Wa Msimamo Member Joined Mar 11, 2013 Posts 73 Reaction score 12 Apr 10, 2013 #16 Mtoto halali na hela said: Ni kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mke/mume wa mtu. Click to expand... Ujinga ni kuwa mwizi wa wake/wame za wa2.
Mtoto halali na hela said: Ni kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mke/mume wa mtu. Click to expand... Ujinga ni kuwa mwizi wa wake/wame za wa2.
Jay Wa Msimamo Member Joined Mar 11, 2013 Posts 73 Reaction score 12 Apr 10, 2013 #17 Ujinga ni kumuambia mtu I Love U alafu unasubiri jibu wakati sio swali.
Lisa Rina JF-Expert Member Joined Dec 3, 2010 Posts 3,258 Reaction score 6,877 Apr 10, 2013 #18 Jay Wa Msimamo said: Ujinga ni kumuambia mtu I Love U alafu unasubiri jibu wakati sio swali. Click to expand... Hahaaaa nimeipenda hii
Jay Wa Msimamo said: Ujinga ni kumuambia mtu I Love U alafu unasubiri jibu wakati sio swali. Click to expand... Hahaaaa nimeipenda hii
Jay Wa Msimamo Member Joined Mar 11, 2013 Posts 73 Reaction score 12 Apr 10, 2013 #19 Lisa Rina said: Hahaaaa nimeipenda hii Click to expand... Teh teh teh..mamburula wa town ndo zao.
S Sugar-a Senior Member Joined Feb 6, 2012 Posts 132 Reaction score 22 Apr 11, 2013 #20 Ujinga ni.... kufikiri kwamba ipo siku taifa staz watashiriki kombe la dunia