N'yadikwa
JF-Expert Member
- Aug 10, 2014
- 6,825
- 9,533
Ili vaccine iwe effective inatakiwa iwe developed kwa muda gani wataalamu wa MUHAS si wamo humu watueleze...maana naona hii imeundwa kwa muda mfupi sana!? Inatia shaka kidogoKila dawa ina side effects hii utakuta ni labda 2% wanaopokea ndio wanapata kuganda kwa damu. Ukifanyika utafiti kwa kina tutajua nini hasa kinaendelea. Ila nawapongeza Waingereza wanapokea chanjo kwa rate kubwa tofauti na wenzao wa Ulaya