OllaChuga Oc
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 21,128
- 24,065
Sasa kama ni siri wewe umejuaje mkuu..?!Hata huko Israel maambukizo yanaongezeka kutokana na mdudu wa Corona kujibadilisha mara kwa mara. Kitu ambacho Israel hawasemi, ni watu wangapi wamepata maambukizo baada ya kuchanjwa? Hawatoi takwimu hizo kwasababu ndio mkataba wao na kampuni za madawa kuwa hiyo ni siri yao wawili.
As transmission rate rises above 1, virus czar says 4th lockdown a possibility
Asked about Netanyahu's assertion Thursday that the pandemic is largely over in Israel, Ash says: 'I don't know what the prime minister meant'www.timesofisrael.com