sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,989
- 4,130
Nashukuru mla NafakaNi maoni yako mimi ni nani nipingane nayo
Nashukuru mla NafakaNi maoni yako mimi ni nani nipingane nayo
... ha ha ha! Una sifa zote za kuitwa "mshenzi".alikuwa na underlying complications zingine?
sababu mimi mwezi wa 8 nilimpeleka bibi yangu.ni mzee ana more than 100 yrs.
haikuwa nia nichanje but nilimpeleka yeye km chambo.nilivyoona yuko ok na mimi nilichoma.hapo kumbuka huyu bibi yangu alikuwa akimsogelea mama kipindi anaugua kovid na kulala nae..tulimzuia tukashindwa.
mama alifariki mwez wa 4.baadae mwez wa 6 sista pia ilimuondoa na chenyewe kibibi kilikuwa kinasogea hapo..
hadi leo kipo na kimeenda zake ulaya huko kubadili upepo.
Mm sichomi ng'ooBongoland hatuna habari nayo inapambana na hali yake.
Kwakweli nilikuwa nna mpango wa kuchoma chanjo kutokana na ushawishi wa mzee wangu, ila three days after kuchoma chanjo aliumwa na within a week a kafariki.
Dr aliniambia kabisa kuwa ni negative effects za chanjo mzee hakuweza kuzihimili maana tayari alikuwa uzee unamsumbua.
Nikaggairisha kuchoma chanjo.
Mkuu isijekuwa unatuelekeza kwenye 666!Hakuna kununua wala kuuza bila ile "chapa"
Wenzetu wanapiga mapesa kwa kufanya tafiti za kisayansi lakini sisi tumewekeza kwenye kuhakikisha Mbowe anafungwa. Too sad!● Ujerumani itapiga marufuku watu ambao hawajachanjwa kupata huduma madukani na baa, isipokuwa kama wamepona hivi karibuni kutoka kwa Covid
● Kansela Angela Merkel anasema agizo la chanjo ya nchi nzima linaweza kuwekwa nchini Ujerumani kuanzia Februari 2022.
● Serikali ya Uingereza inatia saini mikataba ya kununua dozi milioni 114 zaidi za chanjo ya Pfizer na Moderna ili kutumia mnamo 2022 na 2023.
Hizi updates zitakwambia kwamba COVID is here to stay kama ilivyo kwa NGOMA / HIV
Pole sana ndugu.Bongoland hatuna habari nayo inapambana na hali yake.
Kwakweli nilikuwa nna mpango wa kuchoma chanjo kutokana na ushawishi wa mzee wangu, ila three days after kuchoma chanjo aliumwa na within a week a kafariki.
Dr aliniambia kabisa kuwa ni negative effects za chanjo mzee hakuweza kuzihimili maana tayari alikuwa uzee unamsumbua.
Nikaggairisha kuchoma chanjo.
alikuwa na underlying complications zingine?
sababu mimi mwezi wa 8 nilimpeleka bibi yangu.ni mzee ana more than 100 yrs.
haikuwa nia nichanje but nilimpeleka yeye km chambo.nilivyoona yuko ok na mimi nilichoma.hapo kumbuka huyu bibi yangu alikuwa akimsogelea mama kipindi anaugua kovid na kulala nae..tulimzuia tukashindwa.
mama alifariki mwez wa 4.baadae mwez wa 6 sista pia ilimuondoa na chenyewe kibibi kilikuwa kinasogea hapo..
hadi leo kipo na kimeenda zake ulaya huko kubadili upepo.
ht choo anatumia kwa kuchuchumaaBibi wa miaka mia?kaenda ulaya ?anaweza tembea?
Mmmh Haya banaht choo anatumia kwa kuchuchumaa
Mwanangu ww huendi mbinguni.alikuwa na underlying complications zingine?
sababu mimi mwezi wa 8 nilimpeleka bibi yangu.ni mzee ana more than 100 yrs.
haikuwa nia nichanje but nilimpeleka yeye km chambo.nilivyoona yuko ok na mimi nilichoma.hapo kumbuka huyu bibi yangu alikuwa akimsogelea mama kipindi anaugua kovid na kulala nae..tulimzuia tukashindwa.
mama alifariki mwez wa 4.baadae mwez wa 6 sista pia ilimuondoa na chenyewe kibibi kilikuwa kinasogea hapo..
hadi leo kipo na kimeenda zake ulaya huko kubadili upepo.
Kampeleka bibi yake kama chambo jamaniMwanangu ww huendi mbinguni.
Kuna waduwanzi wana roho za ki escape from sobibor, ki guantanamo bay roho za ajabuKampeleka bibi yake kama chambo jamani
😂😂😂😂Kuna waduwanzi wana roho za ki escape from sobibor, ki guantanamo bay roho za ajabu
Huyu msenge mmoja wapo