Ujenzi wa majengo ya chuma steel erection

Ujenzi wa majengo ya chuma steel erection

Chinekeee

Member
Joined
Aug 20, 2014
Posts
86
Reaction score
30
Habari zenu wakuu najua mmekuwa mkiona majengo mengi ya chuma yakijengwa hapa mjini ila wengine hawajui yanatoka wapi na yanajengwa vipi so nawapa nafasi ya kuuliza chochote kuhusu majengo hayo
 

Attachments

  • 1413375737529.jpg
    1413375737529.jpg
    64.3 KB · Views: 720
  • 1413375790861.jpg
    1413375790861.jpg
    49.6 KB · Views: 611
Hayo machuma yanotoka wapi na yanajengwa vipi? Vipi mtu anweza kujenga mjengo nyumbani kwake na hayo machuma
 
Nimeona moja barabara ya Ali Hassan Mwinyi, swali, kuna tofauti gani kati ya zege na hayo machuma?
 
umenitamanisha nitakuja kujenga kanisa la Mungu kwa machuma kama hayo. Mungu ni mwema.
 
Nimeona moja barabara ya Ali Hassan Mwinyi, swali, kuna tofauti gani kati ya zege na hayo machuma?

Machuma yanaitwa steel portals na hutumika hasa kujenga godowns/maghala. Faida kubwa ya kutumia portals ni kasi ya ujenzi ni kubwa ukilinganisha na zege.
 
Naweza chenga jengo la gorofa 3 au 4 zuri la kisasa kwa ajili ya osfisi na makazi kwa kutumia vyuma? Kama inawezekana faida na hasara ni zipi?
 
Naweza chenga jengo la gorofa 3 au 4 zuri la kisasa kwa ajili ya osfisi na makazi kwa kutumia vyuma? Kama inawezekana faida na hasara ni zipi?

Inawezekana ila gharama kubwa zaidi na uzoefu wa ujenzi aina hii mdogo.
 

Attachments

  • frame3.jpg
    frame3.jpg
    15.9 KB · Views: 393
Naweza chenga jengo la gorofa 3 au 4 zuri la kisasa kwa ajili ya osfisi na makazi kwa kutumia vyuma? Kama inawezekana faida na hasara ni zipi?

Kwanza kbsa ningependa kukueleza kuwa unaweza kujenga gorofa hata 10 kwa kutumia vyuma...na inafaida kubwa coz una save more than 30 to 40% ya material .pesa .na muda ukilinganisha na kutumia zege
 
Wengine tumejizoeza mpaka tekinojia mpya ikizoeleka kwa jamii na sie ndio tunnaingia.... Hvi ukitaka kujenga kama ghorofa 100 nayo inawezekana
 
Kwanza kbsa ningependa kukueleza kuwa unaweza kujenga gorofa hata 10 kwa kutumia vyuma...na inafaida kubwa coz una save more than 30 to 40% ya material .pesa .na muda ukilinganisha na kutumia zege

Kwahio simplemind hapo juu kadanganya? Ofisi zenu ziko wapi? Na si itabidi kutumia ofisi hio hio kuanzia architectural designs mpaka kumaliza? Dar mmejenga gorofa ngapi na wapi?
 
Last edited by a moderator:
Kwahio simplemind hapo juu kadanganya? Ofisi zenu ziko wapi? Na si itabidi kutumia ofisi hio hio kuanzia architectural designs mpaka kumaliza? Dar mmejenga gorofa ngapi na wapi?

Ofis zetu zipo mikochen .na kama tukikubaliana na mteja architectural designs huwa tunafanya na kumpa options pia tumejenga mbili zipo nyerere ..kama unahitaji maelezo zaid karbu PM asante
 
Last edited by a moderator:
Serikali ingelikuwa ina akili ingezuia( nasema kuzuia sio kupiga marufuku) ujenzi wa majengo ya chuma hadi pale Tanzania itakapoweza kuzalisha na kufua chuma chake mwenyewe. Kinyume cha hapo, kwa kutegemea chuma cha kuagiza nje ya nchi, kitaporomosha thamani ya shilingi na uchumi zaidi ya ilivyo sasa. Chuma miongoni mwa bidhaa sensitive duniani ambazo hazichelewi kuyumbisha uchumi (rejea hata maamuzi ya Bush jr kuhusu steel huko Marekani).
 
Ofis zetu zipo mikochen .na kama tukikubaliana na mteja architectural designs huwa tunafanya na kumpa options pia tumejenga mbili zipo nyerere ..kama unahitaji maelezo zaid karbu PM asante
Tuombe mods ahamishe huu uzi kwenye matangazo ya biashara ili usipotee haraka. Nitakutafuta mkuu, sema kwa sasa kuna mambo nataka kamilisha kwanza ila in 6 months nitakua tayari kuanza project yangu. Hivyo naomba uni PM tu contact zenu ili mda ukifika nikianza ku survey options niweze kupia kwenu pia. Asante.
 
Serikali ingelikuwa ina akili ingezuia( nasema kuzuia sio kupiga marufuku) ujenzi wa majengo ya chuma hadi pale Tanzania itakapoweza kuzalisha na kufua chuma chake mwenyewe. Kinyume cha hapo, kwa kutegemea chuma cha kuagiza nje ya nchi, kitaporomosha thamani ya shilingi na uchumi zaidi ya ilivyo sasa. Chuma miongoni mwa bidhaa sensitive duniani ambazo hazichelewi kuyumbisha uchumi (rejea hata maamuzi ya Bush jr kuhusu steel huko Marekani).
Ni kweli kabisa mkuu ila kama unavyojua tunakimbizwa na maendeleo na tecnolojia so si dhani kama huu ni muda muafaka wa kufanya hivyo....asante
 
Back
Top Bottom