Ujenzi wa Bwawa la Umeme la Nyerere wafikia 81.2% Majaribio ya kwanza kufanyika January 2024, DAWASA kuchukua Maji yaliyokwisha zalisha Umeme!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,990
142,007
CDF mstaafu Davis Mwamunyange ambaye ni mwenyekiti wa Bodi ya DAWASA amesema wametembelea Bwawa la Nyerere kuangalia uwezekano wa kupata chanzo kipya cha Maji kwa akili ya mikoa ya DSM na Peani

Mwamunyange amesema Ujenzi wa Bwawa umefikia 81.2 jambo ambalo ni zuri sana na DAWASA watakuwa wanaochukua Maji yaliyokwisha zalisha Umeme badala ya kuyaachia yote yaende baharini

Nate mhandisi wa Bwawa la Nyerere amesema Majaribio ya kwanza ya mitambo yatafanyika January 2024

Source Star tv
 
CDF mstaafu Davis Mwamunyange ambaye ni mwenyekiti wa Bodi ya DAWASA amesema wametembelea Bwawa la Nyerere kuangalia uwezekano wa kupata chanzo kipya cha Maji kwa akili ya mikoa ya DSM na Peani

Mwamunyange amesema Ujenzi wa Bwawa umefikia 81.2 jambo ambalo ni zuri sana na DAWASA watakuwa wanaochukua Maji yaliyokwisha zalisha Umeme badala ya kuyaachia yote yaende baharini

Nate mhandisi wa Bwawa la Nyerere amesema Majaribio ya kwanza ya mitambo yatafanyika January 2024

Source Star tv
Baadaye utasikia umefika asilimia 75
 
hahahaha, huwa kwenye hydro power production kunafanyikaga recycling ya maji na kuna kuwa na reservour kwa ajira ya kuhifadhi maji incase kunatokea low supply.

Wakati wa operation kuna kitu kinaitwa "energy loss" yale maji yanayoshindwa kwenda kwenye mzunguko na kumwagika kama "case drain" haya nayo yanakwenda kwenye recycling kwa kuungana na yale mengine yaliyofanya kazi ya kuzungusha turbines...

Kitu pekee labda ni ile overflow ukiwa pia tayari una full capacity reservour na kiasi cha kutosha pia kuzungusha maturbines..
Binafsi nashauri haya maji yaende kwenye mashamba ya irrigation scheme kwenye speacial designed area kufanya kilimo cha kisasa cha muda mfupi kama mbogamboga, nyanya nk..
 
Ok, sasa na yale matengenezo ya gridi ya Makamba yataanza lini? na ile LNG hivi ilifikia wapi?

Watu wana mambo mengi kichwani karibia watakuwa machizi.
 
CDF mstaafu Davis Mwamunyange ambaye ni mwenyekiti wa Bodi ya DAWASA amesema wametembelea Bwawa la Nyerere kuangalia uwezekano wa kupata chanzo kipya cha Maji kwa akili ya mikoa ya DSM na Peani

Mwamunyange amesema Ujenzi wa Bwawa umefikia 81.2 jambo ambalo ni zuri sana na DAWASA watakuwa wanaochukua Maji yaliyokwisha zalisha Umeme badala ya kuyaachia yote yaende baharini

Nate mhandisi wa Bwawa la Nyerere amesema Majaribio ya kwanza ya mitambo yatafanyika January 2024

Source Star tv
Bado kuna wapuuzi wanasema Magufuli hakuwa na maono ,sijui zito na lisu wanajisikiaje wakati walimpiga tangu mwanzo

USSR
 
CDF mstaafu Davis Mwamunyange ambaye ni mwenyekiti wa Bodi ya DAWASA amesema wametembelea Bwawa la Nyerere kuangalia uwezekano wa kupata chanzo kipya cha Maji kwa akili ya mikoa ya DSM na Peani

Mwamunyange amesema Ujenzi wa Bwawa umefikia 81.2 jambo ambalo ni zuri sana na DAWASA watakuwa wanaochukua Maji yaliyokwisha zalisha Umeme badala ya kuyaachia yote yaende baharini

Nate mhandisi wa Bwawa la Nyerere amesema Majaribio ya kwanza ya mitambo yatafanyika January 2024

Source Star tv
Habari za hilo bwawa zimekuwa na uongo mwingi kiasi kwamba haifahamiki ni saa ngapi inasemwa ukweli au uongo. Tuliambiwa hilo bwawa litajaa maji baada ya miaka miwili jambo ambalo ni uongo wa wazi.
 
Bado kuna wapuuzi wanasema Magufuli hakuwa na maono ,sijui zito na lisu wanajisikiaje wakati walimpiga tangu mwanzo

USSR

Alikuwa na maono kwa kujenga bwawa la kuzalisha umeme wa 2,115mg, wakati huohuo umeme wa gas tuliambiwa ungezalisha 5,000mg! Magufuli alikuwa ni bingwa wa kusaka sifa na propaganda za kijinga. Na alifanikiwa kuwapata wajinga waliokuwa wanafuatilia habari zake kupitia vyombo vya habari alivyoviteka kwa kuvitishia.
 
Habari za hilo bwawa zimekuwa na uongo mwingi kiasi kwamba haifahamiki ni saa ngapi inasemwa ukweli au uongo. Tuliambiwa hilo bwawa litajaa maji baada ya miaka miwili jambo ambalo ni uongo wa wazi.
Kama zile za ujenzi wa makao makuu ya Chadema ,mtapanga hadi mfe

USSR
 
Alikuwa na maono kwa kujenga bwawa la kuzalisha umeme wa 2,115mg, wakati huohuo umeme wa gas tuliambiwa ungezalisha 5,000mg! Magufuli alikuwa ni bingwa wa kusaka sifa na propaganda za kijinga. Na alifanikiwa kuwapata wajinga waliokuwa wanafuatilia habari zake kupitia vyombo vya habari alivyoviteka kwa kuvitishia.
Wajinga aliwatwanga hadi wakakimbia nchi

USSR
 
Kama zile za ujenzi wa makao makuu ya Chadema ,mtapanga hadi mfe

USSR

Hakuna aibu CDM kupanga, hasa ukizingatia CCM wanatambia ofisi za urithi. Pale mwenye nyumba ya urithi anapomnanga aliyepanga.
 
Wajinga aliwatwanga hadi wakakimbia nchi

USSR
Ni kweli, ila aliwatangwa la kutumia madaraka yake, angejotokeza yeye mbele na familia yake awatwange hao waliokimbia nchi ndio angecheka kichina.
 
Back
Top Bottom