Ujenzi wa barabara za Mitaa katika Jiji la Dar unaendelea

zandrano

JF-Expert Member
Jan 24, 2017
7,123
7,709
Leo trh 3/1/2022 ktk pitapita zangu ktk maeneo ya kituo cha Polisi Kiluvya Gogoni nimeshuhudia maandalizi ya Ujenzi wa barabar ya lami ikitokea ktk kituo hicho cha Polisi ikielekea maeneo ya Shule za Hondogo.

Angalizo la wananchi ktk eneo hilo ni:

1. Thamani ya fedha itakayo tumika kweli ionekane

2. Barabara/mchepuko huo ni wa Tanroad hivyo Jengeni barabara ili kuwasaidia wanchi kwa urefu ambao utawasidia isiwe danganya toto.

3. Bomoeni nyumba au Fensi zilizo jengwa ktk hifdhi bila woga, fuateni sheria za nchi.

Chapeni kazi kwa masilahi ya wanchi sio kwa kujali matumbo.

Mungu mbariki Rais wetu Samia kwa kudhamiria kuwaletea maendeleo wananchi wote wa Tanzanaia.
 
Sasa mbona unatupa mfano mmoja TU wa kiluvya me nikidhani utataja Maeneo mengine.
 
Sasa mbona unatupa mfano mmoja TU wa kiluvya me nikidhani utataja Maeneo mengine
kinacho endelea ktk eneo hilo kinatendeka ktk maeneo yote ktk Jiji la DSM na maeneo yote nchini, kazi inaendelea.

Kama Tulivyo shuhudia kazi nzuri ya ujenzi wa vyumba vya madarasa ya kisasa nchi nzima kunang'aa, hongereni watendaji wote kwa kazi nzuri.
 
kumbe kiluvya ni dar
ni Dar maana nilienda ktk kituo kikubwa cha Polisi kiluvya ambacho kinahudumia mbezi yote, Goba n.k.
hakika eneo hilo ni muhimu sana maana kuna huduma muhimu kwa wananchi wote hivyo ni muhimu sana miundombinu ikaboreshwa.
 
Huko kariakoo wamejenga barabara nzuri kweli, ila sasa ni parking za malori na wasafirishaji na ofisi zao katikati ya barabara yaani utafikiri kariakoo hakuna serikali kwa jinsi barabara zinavyozibwa na malori.

Yote kwa yote barabara sasa hazina faida yeyote kwa watumiaju wengine zaidi ya malori na hazina muda hizi zitabomoka zote

#wamachingawameonewa
#malorinikerokariakoo
 
Ujenzi unaendelea....maeneo ya kiluvya Gogoni/Polisi.

ili wakazi wa maeneo hayo wanaomba Barabara hiyo iende hadi ktk Shule za Sekondari Hondogo ambapo itawasaidia sana wanafunzi wetu kufika kwa haraka shuleni.
 
ni Dar maana nilienda ktk kituo kikubwa cha Polisi kiluvya ambacho kinahudumia mbezi yote, Goba n.k.
hakika eneo hilo ni muhimu sana maana kuna huduma muhimu kwa wananchi wote hivyo ni muhimu sana miundombinu ikaboreshwa.
Kiluvya sehemu kubwa ni Pwani, kiduchu ni Dar
 
Mimi naishi Mbezi Makabe kule barabara ni hazina mashimo yale tuseme ni mahandaki changanya kuna vumbi usafiri ni vipanya mtu ukitoka asubuhi hujafika stand umeshachafuka huyo mbunge uchwara nae sijui kafia wapi kila kitu nchi hii kimekuwa siasa tu.

Hiyo nimejisemea mimi,wapo wanaoishi Msumi na Msakuzi hawa ndiyo wanapata tabu zaidi maana usafiri huko ni mgumu mno kutokana na watu wanatoa gari zao ktk hizo route sababu ya ubovu wa barabara.
 
Kariakoo haipitiki kwa malori

Yaani sasa hivi kuishi kariakoo ni shida kupita kiasi

Utafikiri hakuna serikali bwashee
 
Back
Top Bottom