UWOGA=UMASKINI
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 2,400
- 1,017
Hivi ukitaka kujenga kidogodogo unatakiwa kuanza kununua nini mfano una milion moja au pungufu au zaidi kwa mtu wa kijijini.
anza kununua rangi!
anza kununua rangi!
anza kununua rangi!
Nunua bati,weka mvunguni.
anza kununua rangi!
1. Kiwanja
2. Kuwa na ramani na makadirio yake.
3. Matofali
4. Anza msingi hivyo saruji na mchanga + kisima cha maji (unaweza tumia karo kwa kuanzia)
5. Pandisha hadi linta
6. Wakati wa kupaua hakikisha una hela kamili za kuezeka.
7. Weka grill (kama usalama mdogo)
8. wiring na pipes za maji (peleka na maombi ya umeme)
9. piga plasta
9. Rangi
10. Madirisha na milango
11.Hamia.
sa mpaka afikie muda wa kuzihitaji hizo rangi si zitakua zimesha xpire dah umenichekesha sana
Good approach, ila umesahau mapazia
Nunua bati,weka mvunguni.
mawe,mchanga,kokoto,tofali n.k
anza kununua rangi!
1. Kiwanja
2. Kuwa na ramani na makadirio yake.
3. Matofali
4. Anza msingi hivyo saruji na mchanga + kisima cha maji (unaweza tumia karo kwa kuanzia)
5. Pandisha hadi linta
6. Wakati wa kupaua hakikisha una hela kamili za kuezeka.
7. Weka grill (kama usalama mdogo)
8. wiring na pipes za maji (peleka na maombi ya umeme)
9. piga plasta
9. Rangi
10. Madirisha na milango
11.Hamia.