ujenzi holela maana yake ni kujenga kwenye eneo ambalo halijapimwa na halitambuliwi na mipango miji.Sasa kama halitambuliwi na mipango miji huwa kuna mpango wa urasimishaji ambapo kila mtu hupimiwa kulingana na eneo lake na eneo linatakiwa liwe na 400sqm na kuendelea.Hebu nijuze uko wapi alaf niendelee kukushauri.