ujasiliamali.

ujasiliamali.

Joined
Sep 27, 2021
Posts
12
Reaction score
9
Hello salama wakuu natafuta vijana wenzangu tuunde kikundi kwa ajili ya kufanya shughuli za ufugaji kama Kuku au Nguruwe n.k , kwa walioko mkoani Mbeya ni bora zaidi ."tukiwa na umoja ni rahisi kufanikiwa" karibuni
 
Back
Top Bottom