Hizi zimepatikana kwa sababu mshiko ulikuwa kidogo. Mali ya 2.1b jamaa wanataka kutoa 15m. Hapo walikutana na polisi mwenye kujua mahesabu kidogo ndo maana lilibuma. Nadhani walitaka 10% ambayo ni 210m.
Hizi zimepatikana kwa sababu mshiko ulikuwa kidogo. Mali ya 2.1b jamaa wanataka kutoa 15m. Hapo walikutana na polisi mwenye kujua mahesabu kidogo ndo maana lilibuma. Nadhani walitaka 10% ambayo ni 210m.
acha wakenya wanaojituma waje kujichukulia mali za wajinga walio lala! mkiamka tembo wote wameisha, mtabaki na vitabu vya historia kuwa nchi yetu ilikuwa na tembo!