Uislam na hekima ni vitu pacha

jobe ayoub

JF-Expert Member
Jan 30, 2012
203
99
Hakuna tukio kubwa la ushindi kwa waislamu kupita HIJRA.
Tukio ambalo Mtume SAW alihama katika nchi ALIOZALIWA ya Makka na
kuhamia nchi ya ugenini ya MADINA baada ya mateso mengi aliyoyapata
kutoka kwa jamaa zake kwa kipindi kisichopungua miaka KUMI baada ya
Mtume SAW kuanza rasmi kazi yake ya Kutangaza Uislamu.

Jee Waislamu tunajifunza nini kutika HIJRA???
Jee Mtume alihama kwao Makka kwasbabu alikuwa hana nguvu ya kupigana???
Alikuwa hana Msaada wa Allah???
Watu wa Makka walikuwa hawahitaji Uislamu???
Jee Mtume na waislamu walikuwa waoga ndio wakakimbilia Madina???

Basi kama hatujui,
basi ile ndio ilikuwa ndio HEKMA kubwa kuliko zote katika safari ya Uislamu
na kwa tukio lile ndio nyota ya ushindi kwa waislamu na Uislamu kutawala dunia ilipochomoza.
...
Hakuna Uislamu bila ya HEKMA na kila mwenye Hekima basi huyo ndie Muislamu wa kweli na ndie atakaepata KHERI NYINGI.

Na panapokosekana HIKMA basi hakuna Uislamu na matokeo yake ni KUJIANGAMIZA.

Quraan 4:97""""
Hakika Malaika watawaambia wale ambao wamewafisha nao WAMEJIDHULUMU NAFSI ZAO:
Mlikuwa vipi? Watasema:
TULIKUWA TUNAONEWA. Watawaambia:
Kwani ardhi ya Allah haikuwa na wasaa wa KUHAMIA HUMO?
Basi hao makaazi yao ni MOTO, nayo ni marejeo mabaya kabisa.""""""

Imesimuliwa kutoka kwa Anas bin Malik kuwa kuna Bedui mmoja aliingia msikitini
na kukokojoa hadharani basi Msahaba wa Mtume wakaanza kumtolea maneno na kutaka kumzuia na kumpiga.
Lakini Mtume aliwazuia masahaba zake na kuwataka wamwachie amalize haja yake.
Alipokwisha kukojoa Mtume alimwita yule Bedui akamwambia Huu ni MSIKITI KWA AJILI YA IBADA SIO SEHEMU YA KUKUJOLEA Kisha akawamuru masahaba zake wachukue ndoo ya maji wasafishe ili sehemu iliyokojolewa.

Hadithii hii inapatikana katika SAHIH BUKHARI NA SAHIH MUSLIM.

NB;imefika wakati sasa tutofautishe kati ya uislam na mvaa kanzu ya kiislam..
vurugu za sasa ni matokea ya udini unaopandikizwa na wanasiasa ili kufikia malengo yao..
mahakama ya kadhi kwenye ilani ya ccm,ni ya nini?kwa manufaa ya nani?
wakati chama ni cha dini zote..
TAFAKARI.
 
Napita kwa kasi ya ajabu hapa; nawahi kule Nyasa kushusha kitu ntarudi baadaye.
 
Hakuna tukio kubwa la ushindi kwa waislamu kupita HIJRA.
Tukio ambalo Mtume SAW alihama katika nchi ALIOZALIWA ya Makka na
kuhamia nchi ya ugenini ya MADINA baada ya mateso mengi aliyoyapata
kutoka kwa jamaa zake kwa kipindi kisichopungua miaka KUMI baada ya
Mtume SAW kuanza rasmi kazi yake ya Kutangaza Uislamu.

Jee Waislamu tunajifunza nini kutika HIJRA???
Jee Mtume alihama kwao Makka kwasbabu alikuwa hana nguvu ya kupigana???
Alikuwa hana Msaada wa Allah???
Watu wa Makka walikuwa hawahitaji Uislamu???
Jee Mtume na waislamu walikuwa waoga ndio wakakimbilia Madina???

Basi kama hatujui,
basi ile ndio ilikuwa ndio HEKMA kubwa kuliko zote katika safari ya Uislamu
na kwa tukio lile ndio nyota ya ushindi kwa waislamu na Uislamu kutawala dunia ilipochomoza.
...
Hakuna Uislamu bila ya HEKMA na kila mwenye Hekima basi huyo ndie Muislamu wa kweli na ndie atakaepata KHERI NYINGI.

Na panapokosekana HIKMA basi hakuna Uislamu na matokeo yake ni KUJIANGAMIZA.

Quraan 4:97""""
Hakika Malaika watawaambia wale ambao wamewafisha nao WAMEJIDHULUMU NAFSI ZAO:
Mlikuwa vipi? Watasema:
TULIKUWA TUNAONEWA. Watawaambia:
Kwani ardhi ya Allah haikuwa na wasaa wa KUHAMIA HUMO?
Basi hao makaazi yao ni MOTO, nayo ni marejeo mabaya kabisa.""""""

Imesimuliwa kutoka kwa Anas bin Malik kuwa kuna Bedui mmoja aliingia msikitini
na kukokojoa hadharani basi Msahaba wa Mtume wakaanza kumtolea maneno na kutaka kumzuia na kumpiga.
Lakini Mtume aliwazuia masahaba zake na kuwataka wamwachie amalize haja yake.
Alipokwisha kukojoa Mtume alimwita yule Bedui akamwambia Huu ni MSIKITI KWA AJILI YA IBADA SIO SEHEMU YA KUKUJOLEA Kisha akawamuru masahaba zake wachukue ndoo ya maji wasafishe ili sehemu iliyokojolewa.

Hadithii hii inapatikana katika SAHIH BUKHARI NA SAHIH MUSLIM.

NB;imefika wakati sasa tutofautishe kati ya uislam na mvaa kanzu ya kiislam..
vurugu za sasa ni matokea ya udini unaopandikizwa na wanasiasa ili kufikia malengo yao..
mahakama ya kadhi kwenye ilani ya ccm,ni ya nini?kwa manufaa ya nani?
wakati chama ni cha dini zote..
TAFAKARI.

Tatizo uislam umevamiwa na WAHUNI akina Mohamed issa,ponda,al-nuur,radio iman n.k
 
Hekma ni kujua jambo la kufanya;
Jinsi ya kulifanya;
Wakati wa kulifanya;
Nani wa kulifanya;
Na mahali pa kulifanya!
Mtu alipoingia kukojoa msikitini mtume alijua nini cha kufanya na jinsi ya kufanya na wakati wa kufanya pamoja na nani wa kufanya. Mkojo ukasafishwa na ibada ikaendelea. Bila shaka aliyekuwa anakojoa msikitini alailimishwa na hapakuwa na tafrani. Wanaojiita wanaharakati wa Kiislamu, Hekma kama ya mtume iko wapi? Nina hakika mtume hangechoma makanisa, wala hangeagiza makanisa yachomwe kwa sababu tu mtoto fulani kakojolea kitabu kitakatifu. Kama alivyojaa hekima, angetumia hekima. Hekima yenu iko wapi? Uislamu ni dini ya amani kama jina lake lilivyo. Je hayo matendo ndiyo amani? Tusiuabishe uislamu wala kuudhalilisha kwa sababu uislamu na hekma ni mapacha!
 
Uandikeni msahafu kwa kiswahili, ondokaneni na utumwa wa kuwaabudu kina "qabus"

wakiwazuia waambieni "inawezekana hii kitu haituhusu" ni pendekezo tu jamani!!!
 
Back
Top Bottom