Manton
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,164
- 1,520
Kazi kama kumkumbusha mteja akae chonjo, aombe 'guarantee' kila anunuapo bidhaa ili kuepuka usumbufu wa kutapeliwa kizembe!Kazi hizo za kuruhusu fake substandards kuingia na kuuzwa nchini, au kazi yenu ni ipi hasa?