Technology
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 769
- 284
Mara kadhaa wafugaji wa kuku tumekua tunalalamikia serikali kutodhibiti uingizaji wa mayai toka Kenya kwani unakaribia soko la ndani na mayai kufikiri kuoza kwa kukosa soko, kwakua wafugaji wakubwa, Kati na wadogo tuko zaidi ya 20000 na wengi wana madeni makubwa ktk taasisi za mikopo/fedha.
Members wengi wa jamii forums ni wanafiki, wamekua wanapinga uingizaji wa sukari toka nje eti unaharibu ajira za ndani na soko pamoja na kuua viwanda, jibuni haya maswali
1. Idadi ya wafugaji wa kuku na idadi yawauajiriwa wa viwanda Vya sukari ili kubwa (sitetei hao waingizaje ieleweke)
2. Wenye viwanda wanaweza kwenda kuuza hata Congo, je mayai utapelekea Congo kwa mitaji ya mikopo
3. Si unafiki kutembea kundi dogo la wenye viwanda na kukaa kimya kwa bias hata za wafugaji ambapo wengi ni wayang na wastaafu
4. Clouds radio waliweka muda Maalumu kuisemea issue ya sukari kwakua walihongwa na wenye viwanda, sisa wajasiriamali hatuna cha kuongea hivyo ni Sawa kuonewa?
Members wengi wa jamii forums ni wanafiki, wamekua wanapinga uingizaji wa sukari toka nje eti unaharibu ajira za ndani na soko pamoja na kuua viwanda, jibuni haya maswali
1. Idadi ya wafugaji wa kuku na idadi yawauajiriwa wa viwanda Vya sukari ili kubwa (sitetei hao waingizaje ieleweke)
2. Wenye viwanda wanaweza kwenda kuuza hata Congo, je mayai utapelekea Congo kwa mitaji ya mikopo
3. Si unafiki kutembea kundi dogo la wenye viwanda na kukaa kimya kwa bias hata za wafugaji ambapo wengi ni wayang na wastaafu
4. Clouds radio waliweka muda Maalumu kuisemea issue ya sukari kwakua walihongwa na wenye viwanda, sisa wajasiriamali hatuna cha kuongea hivyo ni Sawa kuonewa?