Tangu mwanzo hawakutaka ndio maana hata Pound hawakuiacha
Ila kujitoa naona ni kura tu ndio ziliwapeleka kujitoa
Vijana hawakujitokeza sana kupiga kura na mwisho walijuta sana maana walikuwa wanaruhusiwa kusoma popote within European countries
Wamekosa mengi sana