Uimara wa TV ya Aborder!

Uimara wa TV ya Aborder!

BANDOKITITA

JF-Expert Member
Joined
Oct 4, 2022
Posts
1,623
Reaction score
3,011
Kwa yeyote anaejua au amewahi kutumia TV za Aborder tafadhali naomba kufahamu uimara wake
 
Guys, km Kuna mtu anazifaham vizuri au amewahi kutumia TV za ABORDER naomba kufahamu juu ya uimara wa TV hizi
 
Kama ni mwendo wa pesa madafu bora solar max....ila hao wawili (su.....na mwenzake abor....) ni mapacha wanaosaidiana kwenye kuungua...
 
Mfano aborder 32' ni 280k ukiongeza kidogo unapata skyworth 32' kwa 320k na hisense 32' kwa 350k. Skyworth na hisense ni level za ligi kuu na aborder ni ndondo iliyochangamka
 
Screenshot_2022-10-30-11-27-06-334_com.instagram.android.jpg
 
Mfano aborder 32' ni 280k ukiongeza kidogo unapata skyworth 32' kwa 320k na hisense 32' kwa 350k. Skyworth na hisense ni level za ligi kuu na aborder ni ndondo iliyochangamka
Ha ha ha ha ndondo iliyochangamka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom