Uhusiano wa mapepo na wanawake

Uhusiano wa mapepo na wanawake

Kuna muislam mmoja aliniambia eti sababu wanawake ni wasafi sana,hvyo mapepo hupenda mahali pasafi

PIa kwann visichana vingi vinavyokuja kufanya kaz daslam vikitokea mikoan huwa vikirud huku mikoani vinarud vikiwa na mapepo
Kama mapepo yanapenda pahala pasafi si yangekuwa yanakaa kanisani, misikitini, kwa watoto wachanga, wazee ajuza etc.
 
Leo nilikuwa nafatilia ibada ya mtumishi mwamposa kwenye ibada maalum ya ukombozi...nimeona asilimia 99.9 walio akunguka na kukimbilia madhabauni kwa mapepo ni wanawake...Je kuna uhusiano gani mapepo na wanawake....kwann wanawake wengi wanakumbwa na hayo mapepo
Wanapangwa baba wachungaji kwa uongo
 
Kama mapepo yanapenda pahala pasafi si yangekuwa yanakaa kanisani, misikitini, kwa watoto wachanga, wazee ajuza etc.
Kanisan au msikitin kuna nguvu za kukidhana zinawachoma mapepo

Sasa watoto wachanga wanaojinyea na kujikojolea usafi wao uko wapi,wazee hvyo hvyo ni wachafu mno wanatema tema hovyo na kula maugolo,wengine pia hujikojolea
 
Ndivyo asili ilivyo, rudi kwenye Biblia, jiulize ni kwa nini shetani hakutaka kumrubuni mwanamme Adam, ila alimrubuni mkewe? Na maandiko mengi, utagundua loophole iliyopo kwenye kiumbe aitwaye Mwanamke
Huo ni upotofu wa jamii ya zama za giza,
Kumsingizia mwanamke tu.

hzo ni hadithi tu.
 
Kanisan au msikitin kuna nguvu za kukidhana zinawachoma mapepo

Sasa watoto wachanga wanaojinyea na kujikojolea usafi wao uko wapi,wazee hvyo hvyo ni wachafu mno wanatema tema hovyo na kula maugolo,wengine pia hujikojolea


Kanisani au msikitini kuna nguvu kinzani KWA maana ya usafi wa spiritual
Halafu watoto wadogo wanaojinyea na kujikojolea usafi wa mwili? Kwani ni usafi wa roho au usafi wa mwili?

Mkuu mimi sijaelewa naomba nieleweshwe
 
Hakuna cha mapepo wala nini ,baadhi ya wanawake ni rahisi sana kuwa manipulate, kwa sababu wanatumia mwili wao wa hisia zaidi.
 
Back
Top Bottom