Uhusiano wa M23 na Kagame

Uhusiano wa M23 na Kagame

Kagame hanenepi kwa roho mbaya yake ya kuzaliwa na tamaa ya mali isiyo kifani. Kananuka damu za watu wasio na hatia. Safari hii atakiona cha mtema kuni, jasho la mkund.... linamtoka.
 
Nilikuwa natazama euronews hapa,kwakweli watu wanateseka,watoto wadogo kina mama na wazee wanapata tabu sana,nadhani maisha Yao hawajawahi kuiona amani,kwakweli ukitazama kina mama wa kiafrica naamini wataingia peponi wote hayo mateso ni yakusikia,mimi kama binadamu natazama huku moyo wangu unauma sana,hivi huyu kagame kawa nani mpaka wanamchekea hivi?
 
huyu jamaa sijui kama safari hii atachomoka!kweli ukiishi kwa upanga...
 
Lies,fabricated stories,blame games,money,minerals,politics etc is the name of the game,Congolese acha waendelee na hii game ya kulaumu Rwanda kila kitu,wanachezewa na wajanja bila wao kujua and at the end of the day Congo wataendelea kuuana huku Kigali wakiendelea na maisha yao kama kawaida raha mustarehe bila vurugu yeyote,nawasikitikia sana Congolese lakini they need to man up kumaliza matatizo yao wenyewe,ila soon or later naamini watajua mchawi wao nani.
 
Lies,fabricated stories,blame games,money,minerals,politics etc is the name of the game,Congolese acha waendelee na hii game ya kulaumu Rwanda kila kitu,wanachezewa na wajanja bila wao kujua and at the end of the day Congo wataendelea kuuana huku Kigali wakiendelea na maisha yao kama kawaida raha mustarehe bila vurugu yeyote,nawasikitikia sana Congolese lakini they need to man up kumaliza matatizo yao wenyewe,ila soon or later naamini watajua mchawi wao nani.

we Vipi mchawi gani zaidi ya PK lini Congo DR Ilikuwa na machafuko yasio kwisha kama si kipindi cha Ntibadigana Na Kagame Mimi ni Mmoja ya waTanzania nilioishi nchi hizi tatu Congo DR Rwanda na Burundi najuwa Saana tabia za Kagame na Museveni ni kama mayahudi
 
we Vipi mchawi gani zaidi ya PK lini Congo DR Ilikuwa na machafuko yasio kwisha kama si kipindi cha Ntibadigana Na Kagame Mimi ni Mmoja ya waTanzania nilioishi nchi hizi tatu Congo DR Rwanda na Burundi najuwa Saana tabia za Kagame na Museveni ni kama mayahudi
inawezekana umeishi huko lakini you are bias and clueless, matatizo ya Congolese ni Congolese acheni kutafuta scapegoat kila siku,Kagame or Museveni they are not in Congo na wala hawana majeshi kule mmebaki na story tuu za wanasaidia bila evidence yeyote,and FYI FDLR wakijaribu kufanya any attack kutokea Congo Rwanda wataingia huko huko ndani ya Congo,na M23 ni legit Congolese fighting for their survival maana kuna watu wanataka kuwafanyia walichofanya Rwanda 94 but this time is not going tom happen.
 
Koba umenena ukweli. UN ndio wezi wakubwa wa madini zaidi ya Rwanda. tujiulize UN wamekaa Congo miaka mingapi kabura ya kuruhusu majeshi ya Afrika kwenda kongo?. nahatujiulizi gari la UN lililo kamatwa na tani 50 za dhahabu lilikuwa linapeleka wapi?
 
viongozi wetu nao bila kufikiri wanaingia kwenye mtego wa wazungu, Tunasema eti hata OBAMA kamuonya KAGAME, tumesahau alichokifanya IRAQ?, someni BIBLIA vizuri muujue ubaya wa Marekani. na sioni sababu ya Raisi wetu kurumbana na kagame.
 
Back
Top Bottom