Uhusiano wa kanisa na bendera hasa ya Marekani

Habari wanajamii,

Nimekuwa nikijiuliza na pia kufanya research na kusoma mada mbalimbali kuhusu uwepo wa bendera hasa ya Marekani katika makanisa ya kilokole hasa yanayomilikiwa na watu binafsi Lkn bado sijapata jibu sahihi nini maana yake, yawezekana uwepo wa bendera ya taifa flani mahali flani ni kwamba unakubaliana na sera zote za hilo taifa?

Naomba mwenye kujua siri au maana yake halisi atufahamishe na sisi tafadhali.

Nawasilisha.

Kwa mtu wa kawaida si rahisi kuona uhusiano huo,lakini upo.Umesema mahali fulani kwamba au inawezekana uwepo wa bendera hiyo ina maanisha kukubaliana na sera za taifa hilo?Upo sahihi kwa asilimia kubwa.Kama wewe ni mchunguzi utagundua kwamba kila alama iliyoko kwenye bendera ya Marekani ina maana fulani.Kwa mfano zile nyota hamsini na sita ambazo zinaitwa pentagrams ni alama za kishirikina.Katika ulimwengu wa kishirikina 56=5+6=11 ambayo ni namba ya kishirikina.Hii ina maana gani,taifa la marekani kwa kiasi kikubwa ni taifa kishirikina.Kumbuka september eleven.Nadhani umeshajua ninakoenda.Ni kwamba makanisa hayo ni ya kishirikina,ingawa yanadai kwamba ni ya kilokole.Bendera za nchi nyingi zina alama za kishirikina.
 
Habari wanajamii,

Nimekuwa nikijiuliza na pia kufanya research na kusoma mada mbalimbali kuhusu uwepo wa bendera hasa ya Marekani katika makanisa ya kilokole hasa yanayomilikiwa na watu binafsi Lkn bado sijapata jibu sahihi nini maana yake, yawezekana uwepo wa bendera ya taifa flani mahali flani ni kwamba unakubaliana na sera zote za hilo taifa?

Naomba mwenye kujua siri au maana yake halisi atufahamishe na sisi tafadhali.

Nawasilisha.
Kanisa haliwezi kumilikiwa na Serikali ni lazima wawe watu binafsi!
 
Habari wanajamii,

Nimekuwa nikijiuliza na pia kufanya research na kusoma mada mbalimbali kuhusu uwepo wa bendera hasa ya Marekani katika makanisa ya kilokole hasa yanayomilikiwa na watu binafsi Lkn bado sijapata jibu sahihi nini maana yake, yawezekana uwepo wa bendera ya taifa flani mahali flani ni kwamba unakubaliana na sera zote za hilo taifa?

Naomba mwenye kujua siri au maana yake halisi atufahamishe na sisi tafadhali.

Nawasilisha.
Acha kusema eti makanisa mengi ya kilokole just hit the point ni kanisa la yule msanii Mzee wa Upako ndiyo kuna bendera kama hotelini.Taja makanisa mengine zaidi ya hilo nililosema
 
Mkuu hiyo ya msikitini ndo naiona Leo, hiyo ni ya kwao wenyewe ama ya taifa flani?

Hiyo Bendera ya msikiti inasema HAKUNA APASWAE KUABUDIKWA KWA HAKI ILA ALLAH NA MUHAMMAD (SAW) NI MTUME WAKE.. hakuna bendera ya taifa lolote pale.. na zile picha za bunduki ni nembo za jihad..... na jihad sio kitu cha ajabu.. hat awaroma waligiana jihad yao kule spain... na south america na hata sasa kule ireland....
 
Care to show evidence? Au ndio yale maneno ya vijiweni?

Utapiga makelele lakini ukweli haubadiliki hata siku moja...... Wengine kazi zenu ni kupindisha ukweli. Lakini hilo lipo wazi kwa wanaojua kuutafuta ukweli. Sidhani kama ni mahala rasmi kulielezea hili. Pole wewe unae ishi kwa maneno ya vijiweni.
 
Utapiga makelele lakini ukweli haubadiliki hata siku moja...... Wengine kazi zenu ni kupindisha ukweli. Lakini hilo lipo wazi kwa wanaojua kuutafuta ukweli. Sidhani kama ni mahala rasmi kulielezea hili. Pole wewe unae ishi kwa maneno ya vijiweni.

Kazi ya nani? Nimekuuliza evidence umeongeza mambo mengi ambayo sijaakuuliza.
Ni ukweli gani ambao hauna vithibitisho?
Na Kama si mahala rasmi what was the pointing of raising the matter?
Mimi siiishi maneno ya kijiweni, else nisingedai ushahidi!

Naona umeshindwa kuthibitisha una resort to ad hominem!
 
Kazi ya nani? Nimekuuliza evidence umeongeza mambo mengi ambayo sijaakuuliza.
Ni ukweli gani ambao hauna vithibitisho?
Na Kama si mahala rasmi what was the pointing of raising the matter?
Mimi siiishi maneno ya kijiweni, else nisingedai ushahidi!

Naona umeshindwa kuthibitisha una resort to ad hominem!

Safari njema kwa unachokiamini.......
 
we hujui kuwa ulokole asili yao marekani ndiko walipoanzisha hiyo dini... ndio maana wanaweka... kama walivyo wa Roma na bendera zao za Vatican.
 
Back
Top Bottom