m_ustar
Member
- Jul 1, 2018
- 31
- 57
Salaam wakuu,
Ningependa kusaidiwa maelezo ya kitaalamu kwanini muathirika wa Virusi vinavyosababisha UKIMWI hawezi pewa chanjo ya ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B), kuna uhusiano gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ningependa kusaidiwa maelezo ya kitaalamu kwanini muathirika wa Virusi vinavyosababisha UKIMWI hawezi pewa chanjo ya ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B), kuna uhusiano gani?
Sent using Jamii Forums mobile app