Mwl Mwakujonga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2023
- 286
- 582
Utangulizi
Neno Nchi Kibiblia ni ardhi yenye mipaka Halali ya kiumiliki. Kuna tofauti Kati ya nchi na taifa , Taifa ni watu ambao wanania moja au lengo moja
Taifa la Israeli lilikuwa ndani ya nchi ya misri , kwahiyo taifa linaweza kuwa ndani ya Taifa jingine
Nchi inamilikiwa
Ardhi au nchi inamilikiwa kihualali na Mungu au Miungu , na anayemiliki Ardhi ndiye Mwenye mamlaka juu ya maamuzi yoyote katika eneo juu ya nini kifanyike au kutofanyika?
2 Wafalme 17:26 Kwa hiyo wakamwambia mfalme wa Ashuru, wakasema, Wale wa mataifa, uliowahamisha, na kuwaweka katika miji ya Samaria, hawaijui kawaida ya Mungu wa nchi; kwa hiyo
amepeleka simba kati yao, na tazama, wanawaua, kwa sababu hawaijui kawaida ya Mungu wa nchi.
Wakristo wengi wanapoingia kwenye biashara au kutokana na kutokujua au kutokukosa maaarifa hawajui kwamba Mungu anaweza kumiliki nchi na kuhamua Nani hauze au Nani hasiuze
Ile kwamba Una Mungu na unafanya biashara si kweli kwamba Mungu wako anamiliki na kutawala eneo unalofanyia biashara
Mungu anayemiliki nchi ndiye anayehamua Nani hauze na Nani asihuze? Watu wengi wanafunga na kuacha biashara na kupata hasara lakini hapo hapo wanapofunga biashara kuna watu wanafanya biashara hiyo hiyo Kwa mafanikio makubwa Sana , Kwa hiyo ile kwamba Una Mungu ina maana kwamba biashara yako utafanikiwa Tu
Ufunuo wa Yohana 13:16-17
[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
.
Ulishawai kujiuliza kwanini baadhi ya wakristo wanakwenda kanisani na kwenda kwa mganga?
2 Wafalme 17:41Basi mataifa hawa wakamcha BWANA, tena wakaziabudu sanamu zao za kuchongwa; na wana wao vile vile, na wana wa wana wao; kama walivyofanya baba zao, wao nao hufanya vivyo hivyo hata leo.
Neno Nchi Kibiblia ni ardhi yenye mipaka Halali ya kiumiliki. Kuna tofauti Kati ya nchi na taifa , Taifa ni watu ambao wanania moja au lengo moja
Taifa la Israeli lilikuwa ndani ya nchi ya misri , kwahiyo taifa linaweza kuwa ndani ya Taifa jingine
Nchi inamilikiwa
Ardhi au nchi inamilikiwa kihualali na Mungu au Miungu , na anayemiliki Ardhi ndiye Mwenye mamlaka juu ya maamuzi yoyote katika eneo juu ya nini kifanyike au kutofanyika?
2 Wafalme 17:26 Kwa hiyo wakamwambia mfalme wa Ashuru, wakasema, Wale wa mataifa, uliowahamisha, na kuwaweka katika miji ya Samaria, hawaijui kawaida ya Mungu wa nchi; kwa hiyo
amepeleka simba kati yao, na tazama, wanawaua, kwa sababu hawaijui kawaida ya Mungu wa nchi.
Wakristo wengi wanapoingia kwenye biashara au kutokana na kutokujua au kutokukosa maaarifa hawajui kwamba Mungu anaweza kumiliki nchi na kuhamua Nani hauze au Nani hasiuze
Ile kwamba Una Mungu na unafanya biashara si kweli kwamba Mungu wako anamiliki na kutawala eneo unalofanyia biashara
Mungu anayemiliki nchi ndiye anayehamua Nani hauze na Nani asihuze? Watu wengi wanafunga na kuacha biashara na kupata hasara lakini hapo hapo wanapofunga biashara kuna watu wanafanya biashara hiyo hiyo Kwa mafanikio makubwa Sana , Kwa hiyo ile kwamba Una Mungu ina maana kwamba biashara yako utafanikiwa Tu
Ufunuo wa Yohana 13:16-17
[16]Naye awafanya wote, wadogo kwa wakubwa, na matajiri kwa maskini, na walio huru kwa watumwa, watiwe chapa katika mkono wao wa kuume, au katika vipaji vya nyuso zao;
[17]tena kwamba mtu awaye yote asiweze kununua wala kuuza, isipokuwa ana chapa ile, yaani, jina la mnyama yule, au hesabu ya jina lake.
.
Ulishawai kujiuliza kwanini baadhi ya wakristo wanakwenda kanisani na kwenda kwa mganga?
2 Wafalme 17:41Basi mataifa hawa wakamcha BWANA, tena wakaziabudu sanamu zao za kuchongwa; na wana wao vile vile, na wana wa wana wao; kama walivyofanya baba zao, wao nao hufanya vivyo hivyo hata leo.