KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Wasalaam,
Nimekuja kwenye nezakuu nina hili linahitaji hekima na busara zenu
Kichwa cha habari kina sema Uhuru wa kuwa Huru!.Kama mwanadamu nayehitaji kuwa huru na mazingira yanayo nizunguka na wajibu wakuuliza chocote kinacho nifanya nisiwe huru pili kama katibaya Jamuhuri inavyosema ni haki yangu kikatiba kutoa uhuru wa mawazo!
"Je kwani baadhi ya madhehebu wamekuwa wakiwasababishia usumbufu watu kwakisingizio cha dini??mathala wakiristu wamekuwa wakipiga kengere nzito!!Kila mara saa kumi na moja je hiyo ni haki kwawale wasiyo wakristu je sikuwasababisia usumbufu nakukiuka katiba ya kuwa kila mtu anatakiwa kuwa huru???"
"Kwa dhehebu jingine la waislamu je na wo kuamka saa tisa usiku navipaza sauti vikubwa!!Nakupiga azana kwanguvu zao walizopewa na mwenyezi je siyo kuwanyima hakiwasio kuwa wahumini wa dhehebu hilo??je sikuwasababisia usumbufu nakukiuka katiba ya kuwa kila mtu anatakiwa kuwa huru???"
Nahitaji ufafanuzi wenu wakuu.:A S 39:
Nimekuja kwenye nezakuu nina hili linahitaji hekima na busara zenu
Kichwa cha habari kina sema Uhuru wa kuwa Huru!.Kama mwanadamu nayehitaji kuwa huru na mazingira yanayo nizunguka na wajibu wakuuliza chocote kinacho nifanya nisiwe huru pili kama katibaya Jamuhuri inavyosema ni haki yangu kikatiba kutoa uhuru wa mawazo!
"Je kwani baadhi ya madhehebu wamekuwa wakiwasababishia usumbufu watu kwakisingizio cha dini??mathala wakiristu wamekuwa wakipiga kengere nzito!!Kila mara saa kumi na moja je hiyo ni haki kwawale wasiyo wakristu je sikuwasababisia usumbufu nakukiuka katiba ya kuwa kila mtu anatakiwa kuwa huru???"
"Kwa dhehebu jingine la waislamu je na wo kuamka saa tisa usiku navipaza sauti vikubwa!!Nakupiga azana kwanguvu zao walizopewa na mwenyezi je siyo kuwanyima hakiwasio kuwa wahumini wa dhehebu hilo??je sikuwasababisia usumbufu nakukiuka katiba ya kuwa kila mtu anatakiwa kuwa huru???"
Nahitaji ufafanuzi wenu wakuu.:A S 39: