real G
JF-Expert Member
- Feb 7, 2013
- 5,227
- 5,287
Katika Hotuba yake baada ya kuchaguliwa rais mteule Uhuru Kenyatta amesema anasheherekea ustahimilivu wa taifa la Kenya, katiba ya nchi hiyo na taasisi zake
Amesema uamuzi wa mahakama ulisema mchakato wa kupata matokeo ndio ulikuwa na kasoro ila sio idadi ya kura alizopata na ilifanya mambo kuwa magumu kwake
Amesema bunge lilipitisha muswada unaohusu uchaguzi lakini hajasaini muswada huo kwa kuwa sheria lazima kuwe na mashauriano kwanza kabla ya sheria kupitishwa.
Pia amesema kuna uwezekano mkubwa ushindi wake ukapingwa mahakamani, atafanya mazungumzo na upinzani baada ya uamuzi wa mahakama kutoka
===========================================================
Uhuru Kenyataa speech
I celebrate the resilience of our nation, of our constitution and of institutions Our Kenyan resilience will not tire, it will not give in to the politics of darkness
After Aug 8, the court never challenged my numbers, but the process
The Supreme Court directive was difficult even for me
Anything other country that would have experienced what we went through would have burst asunder
But since the law is supreme, I submitted myself to the decision
The rule of good law does not discriminate. It gives the right to vote or not to vote
Parliament sought to address election issues through a Bill that was brought to my table
Since the law should be reasoned based on principles, I have not assented to the Bill
You cannot choose to exercise a right and then abscond the consequences of that action
My victory today is part of a process likely to be subjected to the test at the courts, I'm awaiting Supreme Court process before engaging NASA in dialogue over national cohesion
Source: Citizen TV
Amesema uamuzi wa mahakama ulisema mchakato wa kupata matokeo ndio ulikuwa na kasoro ila sio idadi ya kura alizopata na ilifanya mambo kuwa magumu kwake
Amesema bunge lilipitisha muswada unaohusu uchaguzi lakini hajasaini muswada huo kwa kuwa sheria lazima kuwe na mashauriano kwanza kabla ya sheria kupitishwa.
Pia amesema kuna uwezekano mkubwa ushindi wake ukapingwa mahakamani, atafanya mazungumzo na upinzani baada ya uamuzi wa mahakama kutoka
===========================================================
Uhuru Kenyataa speech
I celebrate the resilience of our nation, of our constitution and of institutions Our Kenyan resilience will not tire, it will not give in to the politics of darkness
After Aug 8, the court never challenged my numbers, but the process
The Supreme Court directive was difficult even for me
Anything other country that would have experienced what we went through would have burst asunder
But since the law is supreme, I submitted myself to the decision
The rule of good law does not discriminate. It gives the right to vote or not to vote
Parliament sought to address election issues through a Bill that was brought to my table
Since the law should be reasoned based on principles, I have not assented to the Bill
You cannot choose to exercise a right and then abscond the consequences of that action
My victory today is part of a process likely to be subjected to the test at the courts, I'm awaiting Supreme Court process before engaging NASA in dialogue over national cohesion
Source: Citizen TV