Uhuru Kenyatta launches his own party

521365_179419862183963_444483680_n.jpg




scaled.php



scaled.php



48209755.jpg



https://www.facebook.com/The.National.Alliance.Party


https://www.facebook.com/profile.php?id=100002442818660


http://www.scribd.com/doc/94195691/The-National-Alliance-The-Alliance-of-Believers
 
Mengi yakupotosha yamesemwa na naonelea ni vema tu nieleze umati kuhusu hatua kenya imepiga AM katika demokrasia na usajili na uendeshaji wa mfumo wa vyama vingi. Nchi hii ndio ya pekee imeweza kutoa wagombea urais zaidi ya kumi na tano wote na manifesto yao na wamepaa vyeti vya kugombea.
 
Mengi yakupotosha yamesemwa na naonelea ni vema tu nieleze umati kuhusu hatua kenya imepiga AM katika demokrasia na usajili na uendeshaji wa mfumo wa vyama vingi. Nchi hii ndio ya pekee imeweza kutoa wagombea urais zaidi ya kumi na tano wote na manifesto yao na wamepaa vyeti vya kugombea.

Naombeni niulize hizi pesa jamaa kazitoa wapi?
 
Naombeni niulize hizi pesa jamaa kazitoa wapi?


AB-TITCHAZ,
Ninyi ndio yaonekana mulikaliwa chapati...Kumbuka home is best. Uhuru kazaliwa kwa nyumba ya Kenyatta, unatarajia akaishi wapi? Hii naona tu ni kawaida. Mali aliouruthi ni yake kutoka kwa baba. Ni wengi wezi hata sasa kwenye serikali ya sasa hivi ukizingatia kama NHIF na taarifa tunazopata. Hakuna yeyote ata awe nani atakayekosa kuchovya atakapowekwa kwenye urais. Hata hawa wanaobweka zaidi kutaka kuingia na kuleta ukombozi wote ni sawa tu na sarakasi zao zinafanana.
 
AB-TITCHAZ,
Ninyi ndio yaonekana mulikaliwa chapati...Kumbuka home is best. Uhuru kazaliwa kwa nyumba ya Kenyatta, unatarajia akaishi wapi? Hii naona tu ni kawaida. Mali aliouruthi ni yake kutoka kwa baba. Ni wengi wezi hata sasa kwenye serikali ya sasa hivi ukizingatia kama NHIF na taarifa tunazopata. Hakuna yeyote ata awe nani atakayekosa kuchovya atakapowekwa kwenye urais. Hata hawa wanaobweka zaidi kutaka kuingia na kuleta ukombozi wote ni sawa tu na sarakasi zao zinafanana.
Kabaridi,

heshima kwako natanguliza nikidhani umzima popote ulipo.

Kisha sasa hebu tuongee ukweli kuhusu mali ya huyu ba'mdogo. Ni wazi kua babake alikua
mwizi mkubwa wa hali na mali...sio siri tena hio. Leo hii mwanae kachukua urithi wa mashamba
ya babake lakini kinachonishangaza ni kwamba jamaa has not even offered some of those
chunks of land for the IDPs to settle in....Simply a goodwill gesture by a person trying to
become President of KE. Yaani his handlers cant even tell him to do this or does Mama Ngina
still have a strangle hold on these assets?

Kisha you opine very recklessly (excuse me for using this word) that..."Hakuna yeyote ata awe nani atakayekosa
kuchovya atakapowekwa kwenye urais."
Seriously unaeza ukasema maneno kama haya in the light of
chapter 6 of the new katiba? Are you trying to say that its okay to pillage and plunder natural resources simply
coz the other guy did it?...Thats the part I'm not gettting! There has to be a clean break from the past and this
is KE's best opportunity to break away from it.... and please don't let that chance slip away because of political
correctness.

The saga involving NHIF and many others should be taken care of ASAP in the light of the 'reformed judiciary' or is the
DPP waiting for instructions from above before making a move?

oh by the way, is this fella going to conform to the requirements of the ICC proceedings ama anampango wa
kando kuhepa mashtaka?

Ab-Titchaz
 
Kabaridi,

heshima kwako natanguliza nikidhani umzima popote ulipo.

Kisha sasa hebu tuongee ukweli kuhusu mali ya huyu ba'mdogo. Ni wazi kua babake alikua
mwizi mkubwa wa hali na mali...sio siri tena hio. Leo hii mwanae kachukua urithi wa mashamba
ya babake lakini kinachonishangaza ni kwamba jamaa has not even offered some of those
chunks of land for the IDPs to settle in....Simply a goodwill gesture by a person trying to
become President of KE. Yaani his handlers cant even tell him to do this or does Mama Ngina
still have a strangle hold on these assets?

Kisha you opine very recklessly (excuse me for using this word) that..."Hakuna yeyote ata awe nani atakayekosa
kuchovya atakapowekwa kwenye urais."
Seriously unaeza ukasema maneno kama haya in the light of
chapter 6 of the new katiba? Are you trying to say that its okay to pillage and plunder natural resources simply
coz the other guy did it?...Thats the part I'm not gettting! There has to be a clean break from the past and this
is KE's best opportunity to break away from it.... and please don't let that chance slip away because of political
correctness.

The saga involving NHIF and many others should be taken care of ASAP in the light of the 'reformed judiciary' or is the
DPP waiting for instructions from above before making a move?

oh by the way, is this fella going to conform to the requirements of the ICC proceedings ama anampango wa
kando kuhepa mashtaka?

Ab-Titchaz

SAfi sana shukran mahali ulipo na nitazingatia heshima mbele. Nitaanza kwa kuzungumzia huyu ba mdogo wa *T/NA*. Kusema ukweli simjui kihistoria na jinsi alivyopata mali. Lakini ni dhairi kuwa ni urithi kutoka kwa baba. Tena the fact that the guy has not submitted part of the huge chunks of land na kuna walalahoi kwenye mahema/IDPs ni testimony kuwa, he may be just a "mouth-piece". Yes the Ngina factor comes in big time and that is a big problem for his candidacy. Even in the face of God that seems un-approved. Nami sikusikia kuwa atagawia sehemu kubwa ya mashamba katika party launch yake. That is the reason ICC ikiingilia kati yaweza shape some of this factors ambao wananchi wa kawaida hawana uwezo wa kubadilisha.

Halafu, tukizingatia chapter six of the constitution. Katiba ninayo in both kiswahili na English na najua haya yote. Naamini umesishi kenya before na unajua zile tactics hata wakati wa M@1* zilizokuwa zinafanyika. M@1* I can say he was semi-skilled katika siasa. But the current government is fully skilled and educated. M@1* tactics zimepandishwa kwenye ngazi zingine.

Tazama kamati ya CIC kama watchdog ya utekelzaji wa katiba na angalia kama ina nguvu ya kuhakikisha utekelezaji unaenda sambamba na katiba ilivyopangwa. CIC Imesalia kubaki wapinzani dhaifu na kesi nying kortini ambazo hazina sulhu. Tazama pia Mahakama kuu na Mkuu wake na tazama wabunge. Natumai umesoma nation ya leo kuhusu sakata ya wabunge...Sitasisitiza zaidi, ila ningependa kukwambia ninapozungumza hapa si kwamba na poteza fahamu bali nikwamba process nzima ya utekelezaji na ubunifu kenya iko mikononi mwa wachache. Ndio nikasema(samahani kama ilikuwa reckless) Kunaweza tokea mtu ambaye ana dhamira ya kuleta mageuzi lakini ysstem haziruhusu uhuru wa usanikishaji wa sera mpya na viongozi wapya.

Halafu nijibu your core question..Corruption is abominable. Hakuna anayefaa kuchuma mali ya uma na kupersonalize mali asili katika jina lake. Kwa sababu with thriving corruption, an environment where social inequalities abound. Siuungi mkono kamwe. but blame the system. tazama kenyatta, tazama moi, halafu na hivi karibuni tazama, Kibaki.

.................Tungepependa sana kenya iwe a leader katika demokrasia AM lakini itahitaji wakati. Siyo jambo la kustukia tu asubuhi moja na kutarajia matokeo.
 
Back
Top Bottom