pingli-nywee
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 11,923
- 13,344
Turudi pale mwanzoni nilipokuuliza, hujui kusoma au ni ung'eng'e ndio unakulemea? Rais analalama kuhusu sera na sheria mbovu za utumizi wa ardhi na sehemu ambazo zina rotuba na mvua ya kutosha Kenya. Lengo la malalamishi yake ni kwamba Kenya iache kutegemea 'imports' kutoka nje. Wewe hapo na kichwa chako cha kubebea meno tu umesikia jina 'food' ukapandwa na nyege.Hahahaha, kwahiyo rais wako anavyolalamika kwamba Kenya haiwezi kujilisha inategemea Uganda na Tanzania, na kuonya kwamba hali itazidi kuwa mbaya zaidi siku zijazo alikua amevuta bhangi sio kweli?. Tanzania hoyeeee
Sent using Jamii Forums mobile app