Uhuru Internet Vs Mpango Mzima

RGforever

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2011
Posts
6,877
Reaction score
5,444
Hello JF Tech

Mi huwa Natumia Mara Nyingi Uhuru Internet bila Kikomo.. But After Some MBs huwa Speed Inashuka. ingaw Siyo sana But Inashuka Tofauti na Mwanzo..

Sasa Nataka Kununua Kifurushi cha Mwezi je Kati ya Mpango Mzima na Uhuru Internet kipi ni. kifurushi kinachokupa Speed Nzuri bila Matatizo matatizo je Speed ya Uhuru unayopata Ndo Ipo Kwenye Mpango Mzima. Au na Yenyewe inapungua.. Kw Waliowahi Tumia. mpango Mzima Please naombeni Mawazo. Yenu

Thanks
 
Hakuna tofauti mkuu, ikifika kiwango flan speed inakata. Ya uhuru ukitumia ikifika mb 700 speed inakata, na ya mwezi ikifiga 3gb kama sikosei speed inakata
 
Hakuna tofauti mkuu, ikifika kiwango flan speed inakata. Ya uhuru ukitumia ikifika mb 700 speed inakata, na ya mwezi ikifiga 3gb kama sikosei speed inakata

Hata Zile GB 15 nazo zikifika 3GB inabidi Utumie 12 kwa. speed ya Kobe
 
Hakuna tofauti mkuu, ikifika kiwango flan speed inakata. Ya uhuru ukitumia ikifika mb 700 speed inakata, na ya mwezi ikifiga 3gb kama sikosei speed inakata
Kimepunguzwa hadi 500mb
 
Usipate shida ndugu ingia halotel wao hawa cha kupungua speed hutakaa ujute kabisa
 
Voda speed yao inakera kweli. Nimejaribu line ya smart ni afadhali kuliko voda.
 
Usipate shida ndugu ingia halotel wao hawa cha kupungua speed hutakaa ujute kabisa

bora voda wakipunguza speed wanakuacha around 300kbps ila halotel sometime hata 100kbps hufiki.

umetumia kifurushi gani cha halotel mpaka ukatoa claim hio?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…