Mi huwa Natumia Mara Nyingi Uhuru Internet bila Kikomo.. But After Some MBs huwa Speed Inashuka. ingaw Siyo sana But Inashuka Tofauti na Mwanzo..
Sasa Nataka Kununua Kifurushi cha Mwezi je Kati ya Mpango Mzima na Uhuru Internet kipi ni. kifurushi kinachokupa Speed Nzuri bila Matatizo matatizo je Speed ya Uhuru unayopata Ndo Ipo Kwenye Mpango Mzima. Au na Yenyewe inapungua.. Kw Waliowahi Tumia. mpango Mzima Please naombeni Mawazo. Yenu
Hakuna tofauti mkuu, ikifika kiwango flan speed inakata. Ya uhuru ukitumia ikifika mb 700 speed inakata, na ya mwezi ikifiga 3gb kama sikosei speed inakata
Hakuna tofauti mkuu, ikifika kiwango flan speed inakata. Ya uhuru ukitumia ikifika mb 700 speed inakata, na ya mwezi ikifiga 3gb kama sikosei speed inakata
Hakuna tofauti mkuu, ikifika kiwango flan speed inakata. Ya uhuru ukitumia ikifika mb 700 speed inakata, na ya mwezi ikifiga 3gb kama sikosei speed inakata