UHURU: CHADEMA yapasuka

Ngoromiko means shetani, ibilisi lusifa, belzebuli.... Nakushauri acha mambo ya CDM yalivyo ujue yeyote anaye wahuzunisha wana wa nchi kwa habari za kutunga ili kuibeba ccm laana haitamwacha. Acha kabisa.
 
Mimi sina gazeti, ila nimelisoma kwenye mtandao na hiyo habari ipo.
Unaona uvivu gani kutembelea IPP MEDIA ujiridhishe na povu mdomoni likauke?

Toa uongo hapa.Hiyo habari haipo.
 
Sio "nusura kiwake", kimesha waka huko.
 
Kutofatiana ndio kunajenga chama.Hamuwezi kuwa na mawazo ya aina moja wakati wote labda kama ni punguani.
PEOPLES..................
 
Ngoromiko means shetani, ibilisi lusifa, belzebuli.... Nakushauri acha mambo ya CDM yalivyo ujue yeyote anaye wahuzunisha wana wa nchi kwa habari za kutunga ili kuibeba ccm laana haitamwacha. Acha kabisa.

Tanzania ni kubwa, makabila zaidi ya 125, lugha na tamaduni tofauti. Kama ambavyo kwetu neno MB@R@ ni tusi, nasikia huko kaskazini ni jina la mangi fulani. Hivyo hivyo kama Ngoromiko kwenu ni shetani/ibilisi bla bla, huku kwetu ina maana tofauti sana.
 
Una maana NIPASHE ni waongo?
magazeti ya udaku hayo hatutaki habari zake juku jf,hao ndo walisema wamemwona kanumba yuko hai,Ngoromiko wewe unatokeaje ukaamini hizi habari,juzi walitoa picha ya ajali morogoro wakasema ni watu waliojeruhiwa zanzibar na uamsho.funguka mkuu
 
Wazee hawa viongozi hawa kuwa pamoja dr alikuwa na lema kwenye hiyo operation ya m4c . Huo ni uzushi
 
magazeti ya udaku hayo hatutaki habari zake juku jf,hao ndo walisema wamemwona kanumba yuko hai,Ngoromiko wewe unatokeaje ukaamini hizi habari,juzi walitoa picha ya ajali morogoro wakasema ni watu waliojeruhiwa zanzibar na uamsho.funguka mkuu

Kuamini au kutokuamini inategemea na kila mtu anavyoliona gazeti. Lakini ukisema huitaki NIPASHE hapa JF utakuwa hutendei haki jamvi. Wanajamvi wana vionjo tofauti, wengine tunapenda kusoma zote, ziwe za Tz Daima, Nipashe nk.

Ajabu magwanda wanapenda habari zenye waridi kwake tu, zinazosema ukweli mchungu huitwa 'uongo'.
 
Bangi ni nzuri ikitumiwa vizuri kama source of power/energy unapolkua na shughuli nzito ya kufanya ila hua mbaya unapoitumia kama umbea...........
 
to hell with your nipashe ,if you cant convince confuse
 
Safi wangezichapa tuone ngumi kama Lema alivyotaka bungeni

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
mimi nadhani hata kingenuka ni kwasababu za msingi.hao wote wanagombania kujenga cdm kuna ubaya gani?tusichotaka nii mabishano ya kipuuzi kama anayoendeleza shibuda na mawakala wake kama juliana shonza lakini misuguano mikali yenye lengo la kukisaidia chama kikue na kusonga mbele inakubalika popote duniani.
 
Ukweli unauma......leteni uongo kuwa wanaelewana ili siku kikiwaka tufariki kama MARLEY aliposikia mkutano jangwani akazidiwa na kufa
 
Mods tendeni haki.Hii habari haijatoka Nipashe.Source yake ni gazeti la uhuru na kuna thread ya Fmpiganaji inazungumzia habari za CDM.Huyu Ngoromiko achukuliwe hatua kwa kutoa skurceya uongo

Naunga mkono hoja 100 kwa 100 hii habari haipo NIPASHE MODS acheni kulegea mnasababisha JF inakuwa kijiwe cha porojo na mambo ya uongo!!
 
Hiyo Habari ipo kwenye Kongwe la chama!! Nayo utaiitaHabari? au Propaganda?
 
Mkuu naona unaangaika kupambana na hii habari ni ngumu kuizuia! Inawezakana ikawa kweli kimewaka.

inawezekana kimewaka?? huna uhakika then keep quite gamba no.1
 
wakikubaliana tu kwa kila kitu basi mmoja wao atakuwa hafikiri! They should disagree so as to agree! They should agree to disagree!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…