friendsofjeykey
Senior Member
- Aug 12, 2010
- 129
- 13
Naona kata za KARIAKOO watakuwa wanaongoza kwa kufanyiwa uhuni kura za maoni
na natabiri hawa watakuwa wanaongoza kwenye kuzirejesha kadi za CCM
Ya nini kwenda mbai? Tafuteni chimbuko la DR SLAA ndio mtaelewa ilikuwaje kuwaje mpaka akaingia CHADEMA
saa zingine hawa watu ni creations za CCM wenyewe!
na natabiri hawa watakuwa wanaongoza kwenye kuzirejesha kadi za CCM
Ya nini kwenda mbai? Tafuteni chimbuko la DR SLAA ndio mtaelewa ilikuwaje kuwaje mpaka akaingia CHADEMA
saa zingine hawa watu ni creations za CCM wenyewe!