Huo ni ujinga halafu bila aibu anasema et tena hiyo miez miwili atakuwa amenihurumia sana nikaona huyu msenge sema sikumjibu kitu halafu na leo alipanga akitoka job aje kulala magetoni halafu asubuh nimpe hela ya kusuka. Yani nawaza hapa nimfanye nini huyu kiumbe halafu nimkatae mazima