Sabato masalia
JF-Expert Member
- Oct 16, 2011
- 228
- 134
"UHONZOLOMO" ni neno toka katika lugha ya watani zangu wazaramo,walugulu na wakwele lenye maana ya jambo la hatari linalofanywa na mtu na athari zake ni kubwa katika jamii mtu mwenye kufanya hivyo huitwa MHONZOLO yaani mtu hatari wa kuogopwa, hii ndio hali iliyopo wizara ya ujenzi tangu bwana Maghufuli kupewa wizara akisaidiana na katibu mkuu wake aliyeongezewa muda balozi Herbert Mrango imekuwa vurugu mtindo mmoja.
Juzi Maghufuli,Mrango na kibaraka wao wao mkurugenzi wa TANROADS bwana Mfugale wamefanya kitendo cha ajabu, hatari na cha aibu baada kufanya uteuzi kinyume na taratibu, wameteuwa mameneja wapya wa mikoa wa TANROADS kinyemelea bila kutangaza nafasi hizo, hiyo ni kinyume na taratibu.
kama hilo halitoshi Maghufuli kampa ukaimu ukurugenzi wa barabara bwana Nyamhanga huyu bwana alikuwa Kagera na ndiye aliyefanya Blanda badala ya barabara kupita toka Buzilayambo- Biharamulo akageuza kuipitisha Chato kumfurahisha Maghufuli ikawa scandal kubwa walipoingia akina Kawambwa na Chambo walimtoa huyu bwana na kumhamishia Rukwa,alipokuwa kagera pia alimjengea hoteli Maghufuli, Maghufuli analipa fadhila kampandisha na kumhamisha muharibifu huyu kamtoa Rukwa na kumleta Dar kuwa kaimu mkurugenzi wa barabara , mwingine ni Julias Ndiamkama alifukuzwa kwa ufisadi Tanroads amemrudisha tena umeneja mkoa wa Dar es salaam,huyu alipokuwa meneja wa mkoa wa Dar kabla Maghufuli kuhamishwa wizara hiyo ndie aliyemjengea Maghufuli ghorofa oysterbay leo Maghufuli kalipa fadhila kwa kumrudisha tena fisadi huyu ili aendeleze uharibifu na kumnufasiah tena Maghufuli. hizo ndio mbio za Maghufuli 2015 anaweka watu wa kukusanyia pesa za kampeni.
Juzi Maghufuli,Mrango na kibaraka wao wao mkurugenzi wa TANROADS bwana Mfugale wamefanya kitendo cha ajabu, hatari na cha aibu baada kufanya uteuzi kinyume na taratibu, wameteuwa mameneja wapya wa mikoa wa TANROADS kinyemelea bila kutangaza nafasi hizo, hiyo ni kinyume na taratibu.
kama hilo halitoshi Maghufuli kampa ukaimu ukurugenzi wa barabara bwana Nyamhanga huyu bwana alikuwa Kagera na ndiye aliyefanya Blanda badala ya barabara kupita toka Buzilayambo- Biharamulo akageuza kuipitisha Chato kumfurahisha Maghufuli ikawa scandal kubwa walipoingia akina Kawambwa na Chambo walimtoa huyu bwana na kumhamishia Rukwa,alipokuwa kagera pia alimjengea hoteli Maghufuli, Maghufuli analipa fadhila kampandisha na kumhamisha muharibifu huyu kamtoa Rukwa na kumleta Dar kuwa kaimu mkurugenzi wa barabara , mwingine ni Julias Ndiamkama alifukuzwa kwa ufisadi Tanroads amemrudisha tena umeneja mkoa wa Dar es salaam,huyu alipokuwa meneja wa mkoa wa Dar kabla Maghufuli kuhamishwa wizara hiyo ndie aliyemjengea Maghufuli ghorofa oysterbay leo Maghufuli kalipa fadhila kwa kumrudisha tena fisadi huyu ili aendeleze uharibifu na kumnufasiah tena Maghufuli. hizo ndio mbio za Maghufuli 2015 anaweka watu wa kukusanyia pesa za kampeni.