Uhitaji wa magunia 500 za mahindi

Uhitaji wa magunia 500 za mahindi

dasoul

Member
Joined
Dec 25, 2017
Posts
54
Reaction score
17
Greetings wakuu,
Ni maeneo gan kwa Dar ambap nawez pat gunia za mahindi kuanzia 500 or zaid.
 
Greetings wakuu,
Ni maeneo gan kwa Dar ambap nawez pat gunia za mahindi kuanzia 500 or zaid.

Kuweni Macho: MNATAKA KUPIGWA HAPA, upatikanaji wa MAHINDI Dar na yanapouzwa ni rais mno kujua.... HAPA KAENI CHONJO, MTU KESHACHORA RAMANI NA namna ya KUWABOMOA, MSIJE SEMA SIKUWAAMBIA...
 
Kuweni Macho: MNATAKA KUPIGWA HAPA, upatikanaji wa MAHINDI Dar na yanapouzwa ni rais mno kujua.... HAPA KAENI CHONJO, MTU KESHACHORA RAMANI NA namna ya KUWABOMOA, MSIJE SEMA SIKUWAAMBIA...
Si kwel kaka, usiwe na dhan ya utapel ktk kila jambo..!
 
Greetings wakuu,
Ni maeneo gan kwa Dar ambap nawez pat gunia za mahindi kuanzia 500 or zaid.
Dar hakuna shamba lakini vyakula vyote unavyo vijuwa wewe vina limwa nchi hii vipo ni juhudi zako tu kuvitafuta kwenye masoko makubwa.. Kila la heri utapata tu hizo gunia
 
Back
Top Bottom