Uharifu jijini mwanza igoma - ukweli ni upi?

Uharifu jijini mwanza igoma - ukweli ni upi?

Tutor B

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2011
Posts
9,025
Reaction score
6,614
Kuna ujambazi ulitokea siku ya Jumamosi ya tarehe 18 May 2013; ambapo tetesi ni kwamba wananchi ndo waliopambana na hao majambazi na kufanikiwa kuwaua wawili na kuwanyanganya siraha.
Nilishangaa niliposikia chombo kimoja cha habari kikitangaza eti polisi ndo walipambana na hao majambazi na kuwaua. Kwa wale walioko Mwanza na zaidi maeneo ya Igoma naomba tupewe ukweli kuhusu sakata hilo.
 
ulisikia wapi? mimi ni mmoja kati ya tuliokuwepo igoma cku hiyo polisi ndio wale .jambazi kwa kurushiana risasi mambo mengine mkuu uwe unajiuliza kabla kuongea usichokijua sasa wale wahalifu wameonekana wamekufa kwa kupigwa risasi ssa hao wananchi waliwauwaje wakati wenyewe hawana hatA silaha za moto au uliwapa wewe?
 
ulisikia wapi? mimi ni mmoja kati ya tuliokuwepo igoma cku hiyo polisi ndio wale .jambazi kwa kurushiana risasi mambo mengine mkuu uwe unajiuliza kabla kuongea usichokijua sasa wale wahalifu wameonekana wamekufa kwa kupigwa risasi ssa hao wananchi waliwauwaje wakati wenyewe hawana hatA silaha za moto au uliwapa wewe?

Mhhh, sasa hizi za chembe sijui kama atajibu!
 
tatizo raia wamezidi sana kuwalaumu polisi,tena huyo jamaa angeweza hata kusema ni baba ake ndiye aliyewaua.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom