Uharibifu wa miundombinu Tz imekuwa kama tabia yetu.

victormztz

JF-Expert Member
Apr 6, 2015
1,111
613
13266870_247827665584411_335358072_n.jpg
Kwa hali hii, tutaweza kweli kwenda sambamba na mabadiliko tunayoyalilia kila siku, ikiwa fikra na tabia zetu hazibadiliki?
Huu ni mwendelezo tu wa uharibifu ambao umekuwa ukifanywa ktk maeneo mbalimba. Siku tutakapokuwa na sheria kali zinazotekelezeka pengine tunaweza kutatua tatizo hili.


13266870_247827665584411_335358072_n.jpg
 
Watanzania wabishi balaa ukute hapo siyo kwamba alikuwa anakatisha bali alikuwa anataka avutie hapohapo.
 
Tanzania nchi yangu. Watu hatunanidhamu na mali za umma. Watu wanaishi kiujanja ujanja ndio maana wanashindwa kufuata hata sheria kwa kujidai tunaharaka
 
Back
Top Bottom