Mwanaharakati2013
Senior Member
- Sep 29, 2013
- 170
- 15
Habari wakuu.
Naomba mwenye kujua utaratibu wa kufuatilia uhamisho wizara ya afya anijfahamishe. Je ni nani anayehusika pale ninayepaswa kumwona?
Plz mwenye uelewa naomba unisaidie ili nishughulikie tatizo langu hili.
Naomba mwenye kujua utaratibu wa kufuatilia uhamisho wizara ya afya anijfahamishe. Je ni nani anayehusika pale ninayepaswa kumwona?
Plz mwenye uelewa naomba unisaidie ili nishughulikie tatizo langu hili.