kambwaja
Member
- Sep 13, 2017
- 36
- 14
Salaaam wana Jf,,,mm ni mtumishi serikalini idara ya Elimu(mwalimu),Nimekumbwa na swaibu la kuhamishwa kituo changu kipya ,Ambapo katika kituo hiki niliamia kutoka wilaya ya Ifakara nakuja wilaya hii ya kilolo,
Niliamia wilaya hii tarehe 12/11/2017,nakuendelea kufundisha na kufanya majukum mengine kama mwalim,Ajabu leo tarehe2/12/2018,nimepewa barua ya kwenda kufungua shule mpya itakayoanza mwei january 2019 Km 120 kutoka hapa kwa sababu nisizozifahamu
Lakini baada ya kuuliza hapa na pale kwa watumishi wenzangu (SMT) nilijulishwa kuwa mkuu wa shule alipewa barua toka wilayani iliyomtaka achague walimu ambao wangeenda kuanzisha shule ,mkuu aliamua kunitoa mm eti kwa sababu hariziswi na utendaji kazi wangu
Hivo wana jf ,naombeni msaada wenu kimawazo na kisheria za utumishi kwamba nifanyeje hapa ikiwa kama nimetoka kuhamia wilaya ndani ya mwaka huu na pia ni mtumishi niliyeajriwa mwaka 2015,, nawezaje nikawa na uzoefu wa kuanzisha shule ndani ya miaka hii mitatu kazini...................Ahasanteni
Niliamia wilaya hii tarehe 12/11/2017,nakuendelea kufundisha na kufanya majukum mengine kama mwalim,Ajabu leo tarehe2/12/2018,nimepewa barua ya kwenda kufungua shule mpya itakayoanza mwei january 2019 Km 120 kutoka hapa kwa sababu nisizozifahamu
Lakini baada ya kuuliza hapa na pale kwa watumishi wenzangu (SMT) nilijulishwa kuwa mkuu wa shule alipewa barua toka wilayani iliyomtaka achague walimu ambao wangeenda kuanzisha shule ,mkuu aliamua kunitoa mm eti kwa sababu hariziswi na utendaji kazi wangu
Hivo wana jf ,naombeni msaada wenu kimawazo na kisheria za utumishi kwamba nifanyeje hapa ikiwa kama nimetoka kuhamia wilaya ndani ya mwaka huu na pia ni mtumishi niliyeajriwa mwaka 2015,, nawezaje nikawa na uzoefu wa kuanzisha shule ndani ya miaka hii mitatu kazini...................Ahasanteni