Hawa uhamiaji wamegoma kuitawatu kwenye interview?[/QU OTE]
tulia wewe acha papara bado wiki moja wataita
Hawa uhamiaji wamegoma kuitawatu kwenye interview?[/QU OTE]
tulia wewe acha papara bado wiki moja wataita
Poua broda let us wait iyo 1 week!
tuna baba yetu asiyeshindwa kamwe.
tuombe sana kwa hili.
hatuna jinsi mkuu..Amen mkuu! wakati mwingine ni vema kujitia moyo....
hatuna jinsi mkuu..
tukilia sana tutakufuru. tunaambiwa mpaka sasa sijui kuna application 5000 wakati nafasi ziko 270, tena hapo bado kuna watu wana watu wao, tusubiri tuone matokeo!
hahaa duh, katika 270, za ukweli ni 100. haya tafuta probability hapo: 100/5000
hahaa duh, katika 270, za ukweli ni 100. haya tafuta probability hapo: 100/5000