Uhamiaji na dependant of Tanzanian

MkamaP

JF-Expert Member
Jan 27, 2007
8,146
3,235
Nafikiri uhamiaji wanatumbua majipu mengine ambayo siyo majipu, hivi hapo sheria inasema je kwa wanasheria?

Uhamiaji wanawataka watu ambao ni dependant of Tanzanian walipe working permit ya dola zaidi ya $3000. Hii sio sawa. Na kinyume chake sasa imekuwa mzigo kwa familia nyingi akina mama na akina baba ambao ni dependant kwa Mtanzania wengi wamekuwa wa nyumbani hawafanyi kazi. Hii na fikri ni kinyume cha haki ya misingi ya familia.

Naamini ingekuwa sahihi mtu anayeoa na kuolewa na mtanzania kwa mjibu wa taratibu za sheria aruhusiwe kufanya kazi kama Mtanzania bila working permit. Huyu mzazi kimsingi anajishughurisha kuitunza familia ambayo watoto wake ni watanzania.

Pili, fikria ana watoto wake 5 ana mume/mke wamejenga nyumba ana shamba na kondoo wachache na ametoka kwao miaka 15 na anaishi Tanzania, na ikitokea bahati mbaya mtanzania mweza wake akafariki inamaana arudi kwao akaanze upya je ataweza kumudu familia yake ya watoto hawa watanzania 5 huko kwao ambako hana msingi tayari. Je ataweza kumudu hii familia ya watanzania hapa Tanzania bila kufanya kazi kwa vile hana hela ya kununulia working permit? Hii sheria kama ipo yapaswa kuangaliwa upya.
 
Last edited:
Nafikiri uhamiaji wanatumbua majibu mengine ambayo siyo majipu, hivi hapo sheria inasema je kwa wanasheria?

Uhamiaji wanawataka watu ambao ni dependant of Tanzanian walipe working permit ya dola zaidi ya $3000. Hii sio sawa. Na kinyume chake sasa imekuwa mzigo kwa familia nyingi akina mama na akina baba ambao ni dependant kwa Mtanzania wengi wamekuwa wa nyumbani hawafanyi kazi. Hii na fikri ni kinyume cha haki ya misingi ya familia.

Naamini ingekuwa sahihi mtu anayeoa na kuolewa na mtanzania kwa mjibu wa taratibu za sheria aruhusiwe kufanya kazi kama Mtanzania bila working permit. Huyu mzazi kimsingi anajishughurisha kuitunza familia ambayo watoto wake ni watanzania.

Pili, fikria ana watoto wake 5 ana mume/mke wamejenga nyumba ana shamba na kondoo wachache na ametoka kwao miaka 15 na anaishi Tanzania, na ikitokea bahati mbaya mtanzania mweza wake akafariki inamaana arudi kwao akaanze upya je ataweza kumudu familia yake ya watoto hawa watanzania 5 huko kwao ambako hana msingi tayari. Je ataweza kumudu hii familia ya watanzania hapa Tanzania bila kufanya kazi kwa vile hana hela ya kununulia working permit? Hii sheria kama ipo yapaswa kuangaliwa upya.


Sheria yetu inafwata mfumo Dume ni ya upande mmoja tu, yaani Mwananume wa Kitanzania akioa mwanamke mgeni, Mwanamke anapata kila haki ya kuishi na kufanya kazi lkn kama Mwanamke wa Kitz akiolewa na mgeni hakuna tofauti yoyote kwa yule Mume wake, yaani sawa tu na kama asipooa!
Ni sheria mbaya, ya kigandamizaji na inapaswa kubadilshwa lkn kuwalaumu Uhamiaji ni kuwaonea kwani wao ni watekelezaji tu na siyo watunga sheria!
 
Sheria yetu inafwata mfumo Dume ni ya upande mmoja tu, yaani Mwananume wa Kitanzania akioa mwanamke mgeni, Mwanamke anapata kila haki ya kuishi na kufanya kazi lkn kama Mwanamke wa Kitz akiolewa na mgeni hakuna tofauti yoyote kwa yule Mume wake, yaani sawa tu na kama asipooa!
Ni sheria mbaya, ya kigandamizaji na inapaswa kubadilshwa lkn kuwalaumu Uhamiaji ni kuwaonea kwani wao ni watekelezaji tu na siyo watunga sheria!

Mkuu mbona na wanawake wanadaiwa working permit? ama uhamiaji wanachukua rushwa nini?
 
Mkuu mbona na wanawake wanadaiwa working permit? ama uhamiaji wanachukua rushwa nini?



Ninavyofahamu ni kwamba kama ameolewa na Mtanzania kuna unafuu jaribu kujielimisha zaidi na Uhamiaji juu ya hilo!
 
Sheria yetu inafwata mfumo Dume ni ya upande mmoja tu, yaani Mwananume wa Kitanzania akioa mwanamke mgeni, Mwanamke anapata kila haki ya kuishi na kufanya kazi lkn kama Mwanamke wa Kitz akiolewa na mgeni hakuna tofauti yoyote kwa yule Mume wake, yaani sawa tu na kama asipooa!
Ni sheria mbaya, ya kigandamizaji na inapaswa kubadilshwa lkn kuwalaumu Uhamiaji ni kuwaonea kwani wao ni watekelezaji tu na siyo watunga sheria!
Mkuu kama inawezekana unaweza nukuu hicho kifungu cha sheria, ili kisaidie zaidi?
 
Morogoro kuna wa Kenya Kibao wamekuja kuoa Dada zetu kwa minajili ya kuruhusiwa kumiliki ardhi
Walipe Permit hawa wezi kabisa
 
Back
Top Bottom