Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,150
Mi nafikri mkurugenzi wa uhamiaji naona awe makini atapata laana sana kwa kuwanyanyasa
hawa wasomali kila siku kisa njaa za wafanyakazi wake ..hivi mnaona raha kutoa picha za wakimbizi
mnahisi wameingizwa na ungo..hizo dola zenu mia miambili mnazochukua alafu mnawapitisha boda mnawaachia wakafie mbali mbaya mnapiga simu wakiwa wanaelekea mbele wakamatwe si ubinadamu hata kidogo
mkurugenzi
kaa na wenzako jadilianeni je hawa kila siku wanakutwa 100 150 je wameruka na ungo toka somalia
kamammewapitisha means mnawamudu kwa nini msiwatafutie msaada ...ukiwauliza wakati wakiondoka kwenda na ndege ethiopia wanakwambia wameingia na doller 2000 mweingine 3000 anasema ameonga akaamua wacha arudi nyumban
hawa wasomali kila siku kisa njaa za wafanyakazi wake ..hivi mnaona raha kutoa picha za wakimbizi
mnahisi wameingizwa na ungo..hizo dola zenu mia miambili mnazochukua alafu mnawapitisha boda mnawaachia wakafie mbali mbaya mnapiga simu wakiwa wanaelekea mbele wakamatwe si ubinadamu hata kidogo
mkurugenzi
kaa na wenzako jadilianeni je hawa kila siku wanakutwa 100 150 je wameruka na ungo toka somalia
kamammewapitisha means mnawamudu kwa nini msiwatafutie msaada ...ukiwauliza wakati wakiondoka kwenda na ndege ethiopia wanakwambia wameingia na doller 2000 mweingine 3000 anasema ameonga akaamua wacha arudi nyumban